liverpool

  1. P

    UCL Quarter Finals: Real Madrid kukipiga na Bayern, Liverpool kukutana na PSG

    Hatua ya robo fainali ya Uefa Champions League kuanza kuchezwa tarehe 7 na 8 mwezi wa 4 kwa hatua ya kwanza na mechi za marudiano zitachezwa tarehe 14 na 15 mwezi wa 4. Hivi ndivyo mechi zitakavyokuwa, je nani atatoboa kuingia nusu fainali
  2. Mad Max

    Leo kati ya Liverpool, Man City au Chelsea chochote tu kitokee!

    EPL inazidi kunoga. Watetezi wa kombe wanapelekewa moto huko. Wakati City tunategemea leo kusumbuliwa na Chelsea.
  3. Mad Max

    Liverpool na Manchester City Mtauanza Mwaka Mpya kwa Maumivu Makali

    Man City leo hamtoki kwa Sunderland na Liverpool mtashangazwa na Leeds United hapo Anfield. Mtamjua Calvert Lewin ni nani leo?
  4. Mad Max

    Weekend nyingine mbaya kwa Man City na Liverpool. Huu mwaka wa Arsenal. Period!

    “Hali inazidi kua mbaya. Ata baada ya mapunziko marefu ya EPL bado kuna team zinapwetapweta. Walibebwa sana misimu iliopita na system ila sasa ukweli unajiweka wazi. “ -Kuna mlevi anaongea hapa. Nimemnukuu.
  5. Mad Max

    What a weekend: Chelsea anampiga Liverpool. Hafu Gunners tunamyonga West Ham na kukaa pale juu!

    Leo ndio tunakaa pale juu na hakuna wa kutushusha tena hadi msimu unaisha. Tuna kikosi bora kabisa, hatuna majeruhi ya kutisha na tupo Emirates. Liverpool wazee wa bahati leo mnatoka kileleni na hamtakaa mrudi huu msimu.
  6. JanguKamaJangu

    Nguli wa soka wa Liverpool, John Barnes atangazwa kufilisika kwa kuwa na deni la Sh Bilioni 4.9

    Gwiji wa England na Liverpool, John Barnes, ametangazwa kuwa amefilisika baada ya kampuni yake ya vyombo vya habari kuingia katika deni la Pauni Milioni 1.5 (Tsh Bilioni 4.9). Imebainika Jumanne Oktoba 30, 2025 kwamba agizo la kufilisika lilitolewa dhidi ya Barnes (61), na Mahakama Kuu ya Haki...
  7. Waufukweni

    Liverpool yamsajili Alexander Isak na kuweka rekodi Ligi Kuu England

    Liverpool wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Alexander Isak kutoka Newcastle United, wakiweka rekodi mpya ya usajili England kwa mara ya pili msimu huu wa joto. Alexander Isak ametangazwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Liverpool kwa usajili wa rekodi wa £125m kutoka Newcastle kwa Mkataba hadi...
  8. DuaZaMama

    FT' Liverpool 1-0 Arsenal, Liverpool ya moto, Ushindi wa tatu mfululizo EPL

    Timu ya LiverpoolFC imeitandika Arsenal kwa Goli 1-0 katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya England (EPL) kwenye Uwanja wa Anfield, leo Agosti 31, 2025. Goli pekee likifungwa na Dominik Szoboszlai raia wa Hungary katika dakika ya 83. Hivyo, Liverpool imefikisha alama 9 baada ya kushinda mechi 3...
  9. DuaZaMama

    Ligi kuu ya England EPL kuendelea leo bingwa mtetezi Liverpool kukipiga na Bournemouth

    Baada ya kumalizika rasmi kwa msimu wa 2024/2025 mnamo Mei 25, 2025, Ligi Kuu ya Uingereza (English Premier League) itaendelea leo kuashiria rasmi kuanza kwa msimu wa 2025/2026. Mchezo wa ufunguzi utafanyika majira ya saa 4:00 usiku katika dimba la Anfield, kati ya bingwa mtetezi Liverpool na...
  10. Scared

    Hivi Liverpool wanaugomvi na full nembo je designer wao huwa alioni hili

    Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
  11. AskariKanzu

    KWA USAJILI HUU LIVERPOOL NI FAVOURITE WA UBINGWA EPL 2025/2026

    Liverpool mabingwa wa msimu 2024-2025 wa ligi ya uingereza nawapa chapuo ya kuchukua tena ubingwa wa msimu ujao. Hii timu bwana imekamilika kila idara licha ya kuondoka baadhi ya nyota wake pia wamefanya maboresho ya kikosi kwa kusajiri wachezaji kama:- Frimpong Kerkez Wirtz Ekitike Msimu...
  12. Scared

    Hivi Liverpool Manchester united na ipi timu kubwa yenye pesa na makombe mengi

    Hizi timu huwa zinanichanganya ipo kubwa yenye pesa. Na makombe mengi Sasa hivi wakuu
  13. Powell Gonzalez

    Kwa heshima ya Diogo Jota, Liverpool imestaafisha jezi namba ishirini

    Kwanzia sasa Hakuna mchezaji atakaevaa Jezi namba ishirini pale Liverpool, Jezi imestaafishwa kama heshima kwa Diogo Jota. RIP Jota, na Ahsante Liverpool kwa kutambua mchango wake!
  14. R

    Simanzi Mazishi ya Mchezaji wa Liverpool, Diogo Jota

    Wachezaji wa Liverpool wameungana na familia na marafiki katika mazishi ya mchezaji Diogo Jota na kaka yake André Silva, siku mbili baada ya kaka hao kufariki katika ajali ya barabarani nchini Uhispania Ibada ya mazishi ilifanyika katika kanisa la Igreja Matriz katika mji wa Gondomar, Ureno...
  15. DuaZaMama

    Liverpool wastaafisha jezi ya Diogo Jota

    Baada ya mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota kupata ajali leo asubuhi na kufariki dunia, klabu hiyo imeistahafisha jezi namba 20 iliyokuwa inavaliwa na nyota huyo raia wa Ureno. Soma,Pia: Mshambuliaji wa Liverpool Diogo Jota, afariki dunia katika ajali ya gari Jota alipata ajali hiyo leo...
  16. R

    Pale jijini Liverpool Kuna mkosi gani!? hasa team ya Liver!!? Je, ni hujuma!!?

    Miaka ya zamani kidogo hasa 1988/1989 kulitokea janga uwanjani na kuua mashabiki wengi sana Hillsborough disaster, Liverpool wakafungiwa kucheza michuano ya ulaya kwa miaka mingi sana!Hadi Leo Kuna kesi mahakamani ya kupinga mashabiki kuhusika kwenye fujo zilizozaa janga hilo,mwaka 2020 baada ya...
  17. B

    Mamia ya watu waliojitokeza kushangilia ushindi wa klabu yao ya mjini Liverpool

    26 May 2025 Liverpool , Uingereza Mamia ya watu waliojitokeza kushangilia ushindi wa klabu yao ya mjini Liverpool. Mamlaka za mji wa Liverpool zinasema uchunguzi wa shambulio hilo kwa kutumia gari kugonga umati wa watu waliokuwa wamejitokeza kusherehekea ushindi wa klabu ya mpira wa miguu...
  18. Scared

    Hivi Kuna timu kubwa duniani kuzidi Barcelona na Liverpool natafuta fundi anaeweza kuchora nembo za hizi timu kwenye nyumba yangu

    Aisee hizi timu zinatisha maana Kwa boli linalopigwa na usajili wao mbingu na ardhi aisee mungu anipe nini mimi maana msimu huu Kila mwisho wa wiki mama watoto namuambia apike pilau Ili tujiburudishe natafuta fundi anaeweza kuchora nembo ya Barcelona na Liverpool kwenye nyumba yangu forca barca...
  19. JanguKamaJangu

    Mohamed Salah asaini Mkataba mpya wa miaka miwili na Liverpool

    Mshambuliaji Mohamed Salah hatimaye amesaini mkataba mpya kuendelea kubaki Liverpool kwa mshahara wa Pauni 350,000 kwa wiki baada ya mvutano wa muda mrefu kuhusu suala la Mkataba wake ambao ulitarajiwa kumalizika Juni 2025. Baada ya kusaini amesema “Nimefurahi, tuna timu nzuri, tuna nafasi ya...
  20. JanguKamaJangu

    Liverpool yachapwa na Fulham Magoli 3-2 kwenye EPL

    Ligi Kuu ya England Premier League imeendelea leo Aprili 6, 2025, timu ya #Liverpool imepoteza mchezo wake wa pili msimu huu (2024/25) katika Ligi hiyo kwa kukubali kichapo cha Magoli 3-2 kutoka kwa #Fulham Michezo minchine, Brentford imeishika shati Chelsea katika matokeo ya 0-0 wakati...
Back
Top Bottom