Nahisi kama vile ni mzee sana kumudu kukimbizana na vijana, au macho yangu yananidanganya?.
===
Miaka kadhaa tangu aondoke kwenye ramani ya soka la Tanzania, kocha raia wa Brazil, Marcio Maximo ameibuka upya baada ya kutambulishwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya KMC inayomilikiwa na...