ligi kuu nbc

The Tanzania Mainland Premier League (Swahili: Ligi Kuu Tanzania Bara) is a top-level Tanzanian professional football league, governed by the TPLB.

View More On Wikipedia.org
  1. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Bongo mchezaji bora wa mchezo mnaangalia vigezo gani?

    Jana katika mchezo wa Simba na Coastal Union mchezaji bora kapewa Chilambo, lakini kipa wa Coastal alikuwa bora zaidi japo aliconced goli moja. Chuma Ramadhan golikipa wa Coastal kasevu mashuti saba kati ya nane yaliyo lenga lango. Ni sawa na mechi ya laliga jana usiku kati ya Barcelona na...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | Ligi Kuu | Majaliwa Stadium | 15 Agosti, 2026 | Wenye Pesa Mfuko wa Shati hawataki utani

    Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa 3-1 timu ya Namungo kwenye uwanja wao nyumbani. Yanga imeanza ligi kuu kwa mguu mzuri baada ya kushinda mechi yao ya kwanza wakiwa ugenini na kuvuna alama 3 muhimu. Yanga SC imeanza kampeni yake ya Ligi Kuu ya NBC kwa ushindi, ikiondoka na alama tatu muhimu...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 3-0 TRA United| Ligi kuu NBC | KMC Complex

    Yanga wanashuka dimbani muda huu kucheza mchezo wake wa ligi kuu NBC dhidi ya TRA. Moja ya mchezo mzuri na muhimu kwa Yanga kujihakikishia ubingwa Lakini pia hata TRA nao wanataka kumaliza top 4 =========== Klabu ya Yanga imeendelea kuonyesha ubora wake katika Ligi Kuu ya NBC baada ya kuibuka...
  4. S

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League | Yanga SC 3-0 Azam FC | Amani Complex | 24/6/2026 | Yanga wanaukalibia ubingwa

    Wakuu leo mechi nane zitapigwa za NBC Premeir league lakini Jambo kubwa ni kati ya Yanga dhidi ya Azam FC. Je, Yanga wataweza kujishikilia dhidi ya utofauti wa point mbili kati yake na Mnyama Simba. Ikumbukwe Yanga ana majeraha baada ya kipigo kitakatafu dhidi ya Azam hao hao kwenye kombe la...
Back
Top Bottom