lecture

  1. Ibrahimeliza

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer Swali

    Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer. Mimi; unafanya biashara gani teacher...?? Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara. Mimi; Kwanini...?? Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile. Mimi; Sindo...
  2. Pettymagambo

    Yupo wapi master lecture?

    Jamaa alisifiwa sana! Alipambwa kila aina ya maua! Yenye kila rangi! Tukajua mbio za ubingwa ameongezeka mwanaume wa 3! Lakin sasa mambo yamekua tofaut! Namzungumzia kocha Amolin wa azam! katka game 2 zilizopita kaambulia point 1 tena hakupata goal lolote! na mpaka muda huu tunaingia mitamboni...
  3. njiwaji

    Public Lecture- iumbe kwenye nyota zingine

    Hodi hodi, kuna yeyote huko? Jinsi Sayansi inavyotusaidia kuchunguza kama kuna Dunia nyingine kama yetu huko mbali katika nyota zingine za galaksi yetu. Click Join our Cloud HD Video Meeting to start or join a scheduled Zoom meeting. PUBLIC LECTURE Anybody out there? How Climate Science is...
  4. Kiboko ya Jiwe

    Ukienda kusoma Asia, Ulaya au Amerika Mwafrika unamegewa lecture kwa kipimo

    Niliwahi kufanya kazi kwa Mkufunzi mmoja wa UDSM, yeye hakuwa mwajiri wangu ifahamike. Yule Dr.jina mfukoni siku moja alianzisha mada sasa nikaamua kumsifia then nikampa challenge kidogo. Akafunguka na kuniambia kuwa ukisoma nchi za nje hususani mataifa ya Asia and so lazima uwe makini maana...
  5. Tracer

    NAOMBEN MSAAADA JUU YA VYUO VYA DIPLOMA VYA KUJAZA KATIKA SELFORM KIDATO CHA NNE

    Samahanin wakubwa.... NINA SWALI MOJA HIVI... .. ... ... Wakat wa kujaza selform form 4 unapewa na karatas flan hiv linakua limejazwa vyuo mbal mbal vinavyotoa diploma .. .. Sasa nauliza je, Unaruhusiwa kujaza vyuo vingine tofaut na vile vilivyopo qwenye lile karatas?? .. .. Mfano nikajaza...
Back
Top Bottom