Nakumbuka nilivyokuwa chuo nasoma ni chuo cha biashara, nilimuuliza lecturer.
Mimi; unafanya biashara gani teacher...??
Lecturer; Hahaahahhaaaaa sina biashara.
Mimi; Kwanini...??
Lecturer; Unajua ukifungua biashara ukimuweka mtu mara akuibie mara ufilisike mara hivi mara vile.
Mimi; Sindo...
Jamaa alisifiwa sana! Alipambwa kila aina ya maua! Yenye kila rangi! Tukajua mbio za ubingwa ameongezeka mwanaume wa 3! Lakin sasa mambo yamekua tofaut! Namzungumzia kocha Amolin wa azam! katka game 2 zilizopita kaambulia point 1 tena hakupata goal lolote! na mpaka muda huu tunaingia mitamboni...
Hodi hodi, kuna yeyote huko?
Jinsi Sayansi inavyotusaidia kuchunguza kama kuna Dunia nyingine kama yetu huko mbali katika nyota zingine za galaksi yetu.
Click Join our Cloud HD Video Meeting to start or join a scheduled Zoom meeting.
PUBLIC LECTURE
Anybody out there?
How Climate Science is...
Niliwahi kufanya kazi kwa Mkufunzi mmoja wa UDSM, yeye hakuwa mwajiri wangu ifahamike. Yule Dr.jina mfukoni siku moja alianzisha mada sasa nikaamua kumsifia then nikampa challenge kidogo.
Akafunguka na kuniambia kuwa ukisoma nchi za nje hususani mataifa ya Asia and so lazima uwe makini maana...
Samahanin wakubwa.... NINA SWALI MOJA HIVI...
..
...
...
Wakat wa kujaza selform form 4 unapewa na karatas flan hiv linakua limejazwa vyuo mbal mbal vinavyotoa diploma
..
..
Sasa nauliza je, Unaruhusiwa kujaza vyuo vingine tofaut na vile vilivyopo qwenye lile karatas??
..
..
Mfano nikajaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.