kuzeeka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Huyu mzee kwanini hataki kuzeeka?

    Anajiita babloon kisauji, vitu anavyofanya huko Instagram na umri wake haviendani kabisa. Ni utoto na ujinga mtupu. Naona anaimba kwenye mabaa tu, anavyoimba vyenyewe hata havieleweki. Sijui hata kama anawashauri huyu.
  2. MSAGA SUMU

    Wendy Williams amekataa kuzeeka kabisa, miaka 58 lakini bado mbichi kabisa

    Mange Kimambi wa mambele.
  3. new level

    Fanya vitu hivi ili usizeeke haraka

    Habari Wana JF niende kwenye mada VITU VYAKUZINGATIA ILI USI ZEEKE HARAKA. Punguza kula nyama kwa wingi. Punguza kunywa pombe Kali au acha kabisa hasa hunywaji wa pombe za kienyeji matumizi ya madawa yakulevya. Uvutaji sigara Aina zote ..punguza au acha kabisa. Nyeto pia punguza au acha kabisa...
  4. wa stendi

    Hivi huu upande mwingine nao kunakuwa na mvi?

    Sorry kwa swali kama litawaudhi naomba mnisamehe/kumradhi. Wakati mwingine huwa nawaza katika maisha uzeeni huko mbele sijui itakuja kuwaje,sasa leo nimekaa katika kuwaza likanijia swali. Katika mwili wa binadamu Mungu alituumba na kutuwekea kinga za ndani ya mwili na kinga za nje ya...
  5. Kasomi

    Anthony Diallo anazeeka vibaya

    ANTONY DIALLO ANAZEEKA VIBAYA Kwanza kabisa nianze kwa dhati ya moyo wangu kumpongeza katibu wetu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania (UVCCM) ndugu yetu, na kaka yetu Kenani Labani Kihongosi kwa jinsi anavofanya kazi kwa weledi mkubwa kama kijana mwenye maono na anaonesha kwa namna gani ni...
Back
Top Bottom