kumuacha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

    Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale" Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate. Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai. Ni kweli kuwa mheshiwa...
  2. Kipenzi Changu

    Rais Samia, kiingereza cha Waziri wa Elimu kinatia doa Wizara ya Elimu

    Msikilize hapa. She is purely not fluent in speaking English. Inatia uchungu kuona Waziri wa Elimu anaongea English ya hovyo namna hii. Najiuliza Jopo la Maprofesa waliwezaje kumuelewa wakati anawasilisha tafiti zake? Bonus 🤣🤣
  3. Surya

    Hisia na mihemko havijawahi kumuacha mtu salama

    Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu. Niende kwenye mada, Wanaume sisi ni viumbe wenye uthubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata...
  4. mdukuzi

    Tuache unafiki, kumuacha umpendae sio rahisi hivyo

    Nimekuwa nikifuatilia mada za watu wenye changamoto katika mahusiano wakihitaji ushauri. Cha ajabu majibu mengi hayana uhalisia utasikia",piga chini","mrudishe kwao""muolee mke wa pili"etc,hayo majibu ya wadau wengi,ila ukweli kumuacha mke unayempenda sio rahisi hivyo tusidanganyane. Hao...
  5. kilamba lamba

    Mwanamke hufatiliwa sana na Mwanaume asiyeweza kumuacha

    Natumai mu wazima humu ndani, Kiukweli leo nimeamini mwanamke unayemfatilia sana na kumchunga ndiye mwanamke usiyeweza kumuacha kirahisi. Hili nalizungumzia hapa siropoki tu kutokana na kiporo nilichokula ila nina ushahidi nalo kwangu na washkaji na marafiki zangu kwa ujumla. Mwanamke...
  6. kunta93

    Nitumie mbinu gani kumuacha ila nikiwa na hamu awe ananipa?

    Habari zenu mabaharia, Kuna binti tuko kwenye mahusiano ila kichwani ni empty, ni spender na hana hata robo ya uwife material ila linapokuja swala la kitandani asee nashindwa hata kuelezea hapa, she is🔥🔥🔥🔥🔥 Nataka kumpiga chini coz nikiendelea kua nae ntajifunga, huko mbele sitoweza kumkimbia...
  7. Zero Competition

    Huwa unatumia mbinu gani kumuacha mpenzi wako ambaye umemchoka bila kumtamkia kwamba humtaki?

    Kila mtu binadamu mbinu yake ya kuachana na mpenzi wake pindi anapoona amemchoka na haitaji tena kuendelea na hayo mahusiano. Wengine huwatamkia waziwazi wapenzi wao kwamba waachane na wengine hupunguza tu mawasiliano mpaka mahusiano yanakufa kabisa. Binafsi ninapotaka kuachana na mwanamke...
  8. Chizi Maarifa

    Ananilaumu kwa kumuacha na kwenda chumbia mwanamke mwingine. Sasa ngoja nami niseme ukweli

    " Huyu dada amekuwa akiandika kwenye mitandao kuwa nmemtelekeza na kwenda chumbia mwanamke mwingine. Nlianza naye mahusiano nikiamini angekuja kuwa mke wangu.nliepuka kwa muda mrefu kufanya naye mapenzi nikisema tusubiri siku rasmi ya ndoa. Lakini ilishindikana baada ya siku moja tukiwa home...
  9. nzalendo

    Jifunze kumuacha aende

    • Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha. MUACHE AENDE ! • Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi... MWACHE AENDE ! • Wewe ni...
Back
Top Bottom