Kitu ambacho siwezi kufanya ni kumlilia mtoto wa mama mkwe maana naona ni upungufu wa akili namliliaje mtu mzima afu tumekutana ukubwani tu.
Tukizinguana aende tu ni bora nimpende alionizaa, kwanza mwanaume kulilia ni dhambi kubwa sana wanawake wengi sana.
Mwanaume unapiga simu kwa mwanamke...