kukamatwa na polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    Abiria warukia madirishani baada ya basi la mwendokasi kukamatwa na polisi kisa kuzidisha abiria

    Abiria wanaotumia usafiri wa Mwendokasi wameshuka kupitia madirishani katika Kituo cha Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kusimamishwa na polisi kwa madai ya kuzidisha abiria kupita kiasi. Tukio hilo lilitokea leo asubuhi, majira ya 08:25, ambapo...
  2. R

    GE2025 Zitto ashikiliwa na Polisi usiku wa manane Lindi

    Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa kali ya kulaani kile kinachodaiwa kuwa ni uvamizi na kushikiliwa kwa muda kwa Kiongozi wake wa Chama Mstaafu, Zitto Zuberi Kabwe, na maofisa wa Jeshi la Polisi usiku wa tarehe 14 Julai 2025, akiwa katika hoteli mkoani Lindi Kwa mujibu wa taarifa...
  3. Just Pray

    Katibu wa kamati ya sheria, katiba na legal aid ya TLS adaiwa kukamatwa na polisi

    Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X rais wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) Boniphace Mwabukusi amechapisha ujumbe kuwa amepokea taarifa ya kukamatwa kwa Katibu wa kamati ya sheria, katiba na legal aid ya TLS na kwamba wanaifanyia kazi na baadaye kutoa taarifa rasmi. "Nimepokea...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 VIDEO: Sauti ya Tundu Lissu dakika chache kabla ya kukamatwa na Polisi

    Kutoka Mbinga eneo la mkutano ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Mughwai Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi Pia, Soma: Jeshi la Polisi limemkamata Tundu Lissu akiwa Mbamba Bay
  5. I

    Baada ya Boniface Jacob kukamatwa na polisi bila kuzingatia sheria tujikumbushe sheria za ukamataji wa polisi (PGO)

    ZIFAHAMU SHERIA ZA MSINGI UWAPO MIKONONI MWA POLISI IMEANDALIWA NA MAWAKILI 1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako. 2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako. 3. Askari...
  6. J

    Wafanyabiashara wahofia kukamatwa na Polisi walipouawa wananchi wawili Geita

    Hali ilivyo eneo la Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita asubuhi ya leo Alhamisi Septemba 12, 2024 ambapo hadi sasa wafanyabiashara hawajafungua maduka yao wakidai kuhofia kukamatwa na polisi. Mzizi wa hofu hiyo ni vurugu zilitokea jana baina ya wananchi na polisi na kusababisha watu wawili...
  7. J

    RPC Mstaafu Rwambo: Ni Haki ya Mwananchi kujua kwanini anakamatwa na Polisi ni lazima ajieleze anatokea Kituo gani

    RPC Mstaafu Mh Jamal Rwambo amesema kabla hajakamatwa Mwananchi ana Haki ya kujua kwanini anakamatwa Aidha Polisi mkamataji ni lazima ajitambulishe na kueleza kituo Cha Polisi anachotoka Rwambo amesema hata kwenye upekuzi ni lazima wawepo mashahidi wa kushuhudia zoezi la upekuzi Haikubaliki...
  8. Cute Wife

    PreGE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

    Wanaharakati wa haki za binadamu na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakipaza sauti kupitia X kijana wao Deusdedith Soka kuchukuliwa na wanaosemekana na polisi na mpaka sasa hajulikani alipo. Vijana wengine kutoka CHADEMA ambao ambao hawajulikani walipo baada ya sekeseke la maandamano ya BAVICHA...
  9. Kamanda Asiyechoka

    PreGE2025 Freeman Mbowe atoa tamko. Alaani kukamatwa kwa viongozi na vijana wa CHADEMA

    "Tunalaani vikali Jeshi la Polisi kukamata Viongozi wetu Wakuu wa Chama ikiwemo Viongozi wa Baraza la Vijana wa Chadema, BAVICHA. Aidha, tunalaani mkakati wa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa kushirikiana na Polisi kuzuia kongamano la Bavicha katika kuazimisha siku ya vijana duniani hapo kesho...
  10. Cute Wife

    PreGE2025 Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa

    Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limewakamata watu wote waliokuwa ofisi za CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu. John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda Joseph Mbilinyi (SUGU) pamoja na viongozi wa BAVICHA. Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga...
  11. B

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa. Raia ana haki ya kuwajulisha ndugu, jamaa ama sehemu anakofanyia kazi kwamba ama amekamatwa na polisi ama Taasisi ya Kuzuia...
Back
Top Bottom