Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Munde Tambwe, leo Mei 27, 2025, wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu jijini Dodoma, ameeleza wasiwasi wake juu ya kuwepo kwa baadhi ya Asasi za Kiraia (NGO's) ambazo, kwa mujibu wake, zinafanya...