Mimi kila nikitazama mbele sioni kama nitatoboa na hatimae kuingia paradiso.
Nimekaa nikafikiria na kuwaza sana Mungu atakuwa na faida Gani iwapo atatuchoma moto wa Milele?
Na vipi tulio tiyari kufanywa watumwa tuwatumikie tu hao watakatifu wake?
Kwakweli kutuchoma moto hapana manabii...
"Wamekuwa wakizungumza kanakwamba maisha ya mtu ni kitu cha kawaida. Serikali dhalimu inazungumza kuhusu vitu, inazungumza kuhusu vituo vya mafuta haizungumzi kuhusu maisha ya watu. Embu tufikirie hamna watu, hizo barabara na vituo vya mafuta vina maana gani?." Mhe. John Heche.
Habari wadau.
Leo imetimia miaka minne toka kijana maarufu maeneo ya Yombo kwa jina la baba tiago.
Kijana huyu wa early 30 baba wa watoto watatu, aliuwawa kwa kuchomwa moto maeneo ya buguruni alipokamatwa akiiba kwenye godown la mizigo.
Baba tiago alikuwa kijana ambaye hajabahatika kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.