ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza safari za ndege kuelekea nchini Urusi mnamo Juni, 2026.
Ameyasema hayo leo Mei 15, 2026 jijini Arusha...