konokono

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dogoli kinyamkela

    Wafugaji wa kuku chukua majumba ya konokono yaunguze kisha uyasage upate unga

    Wafugaji wa kuku Chukua majumba ya konokono yaunguze kisha uyasage upate unga. Tumia huo unga kuchanganya na chakula cha kuku wako—ni msaada wa kuongeza calcium kwa kuku. Ni nzuri sana! Mdharau asili hufa masikini
  2. USSR

    Tuache utani hili konokono la jamiiforums linatisha sana hakuna mbadala

    Hili dude sio kahuna namna ya kutuhabarisha kama kuna tatizo zaidi ya kutishana USSR
  3. Superbug

    Kwanini nyuki wanaogopa konokono na kisamvu?

    Naomba kujua kwanini nyuki wanaogopa ule utando unaoachwa na konokono anapopita? Na kwanini pia nyuki anaogopa kisamvu kilichopondwapondwa?
  4. H

    Ni kitu gani kinasababisha usiku mitandao ya internet inakuwa na spidi ya konokono?

    Habari wataalam. Nilikuwa nawaza labda ni simu yangu ina shida. Sasa ina maana simu yangu inasumbua usiku tu mchana haisumbui. Nilisikia pia watu wanasema usiku watumiaji ni wengi sijui traffic inafanyaje sijui inagoma ndio inasababisha hiyo mitandao inakuwa bize..Hilo mi sijui wanajua wenyewe...
  5. N

    Suluhisho la konokono msimu huu wa masika ni kumdhibiti malkia wao

    Kuna kero kubwa ya Konokono kwa Msimu huu wa masika ukipanda mimea wanakula hasa bamia suluhisho sio kuwamwagia chumvi hutawamaliza kwa jinsi walivyo weng solution ni kumsaka malkia wake. Iko hivi malkia wa konokono anapenda kukaa kwenye Majani ya migomba ama chini ni mkubwa karibu na uzito wa...
  6. Uhakika Bro

    Unazuiaje konokono na wadudu wasioeleweka kwenye kuta za nyumba pavement etc

    Wanachafua ukuta tu. Tuwafanyeje? Binafsi nimeamua nimewapiga picha na kuwapost hadharani waaibike sasa😒. Sio dawa? Dawa yao nn.....
Back
Top Bottom