kidemokrasia

The Democratic Republic of the Congo (DRC) (pronunciation French: République démocratique du Congo (RDC) [kɔ̃ɡo]), also known as Congo-Kinshasa, DR Congo (French: RD Congo), the DROC, the DRC, or simply either Congo or the Congo, and formerly Zaire, is a country in Central Africa. It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of around 105 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country in the world, as well as the third-most populous country in Africa (after Nigeria and Ethiopia) and the 14th-most populous country in the world. It is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA. Since 2015, the Eastern DR Congo has been the site of an ongoing military conflict in Kivu. The capital and largest city is Kinshasa.
Centered on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the northeast, center and east, the kingdoms of Azande, Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and declared the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of Congolese people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Leopold, despite his initial reluctance, ceded the so-called Free State to Belgium, thus it became known as the Belgian Congo.
Congo achieved independence from Belgium on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. During the Congo Crisis, Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état and renamed the country Zaire in 1971. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide led to a 1996 invasion led by Rwanda, which led to Mobutu's ousting in the First Congo War the following year.Laurent-Désiré Kabila then became the new president, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later by his son Joseph, under whom human rights in the country remained poor and included frequent abuses such as forced disappearances, torture, arbitrary imprisonment and restrictions on civil liberties according to NGOs. Following the 2018 general election, in the country's first peaceful transition of power since independence, Kabila was succeeded as president by Félix Tshisekedi, who has served as president since.The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has suffered from political instability, a lack of infrastructure, corruption, and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little widespread development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities, Lubumbashi and Mbuji-Mayi, are both mining communities. The DRC's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of its exports in 2012. In 2019, DR Congo's level of human development was ranked 175th out of 189 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Madikteta wako efficient kwenye kuendesha uchumi kuliko viongozi wa kidemokrasia

    Wote kipaumbele chao ni kuendelea kubaki madarakani. Ili dikteta aendelee kubaki madarakani lazima awe na hela za kuwalipa wapambe, wanajeshi na vyombo vingine vya dola. So akili ya dikteta siku zote imefocus kwenye hela na uchumi. Kama nchi ina resources kama mafuta basi akili yote ya dikteta...
  2. S

    PostGE2025 Ushauri wangu kwa Rais Samia na CCM kuhusu ushindi wao wa kidemokrasia katika Uchanguzi Mkuu 2025

    Napenda kuwakumbusha Raisi Samia na CCM wote kwamba neno demokrasia halina maana sawa na haki, na wala demokrasia haihalalishi haki, na pia inaweza kupindisha haki au hata kuhalalisha ukosefu wa haki. Hata siku moja msikate shauri kwamba mtu aliechaguliwa kidemokrasia na wengi ndio mwenye haki...
  3. N

    Kuna mstari mwembamba sana kati ya Serikali na Chama tawala, hiyo inachangia changamoto nyingi za Kidemokrasia Tanzania

    Katika mifumo ya kidemokrasia Duniani, moja ya nguzo kuu za uchaguzi huru na wa haki ni kutenganishwa kwa Serikali kama taasisi ya umma na vyama vya siasa kama washindani wa uchaguzi. Hata hivyo, katika baadhi ya nchi zinazoendesha mfumo wa vyama vingi baada ya historia ndefu ya chama kimoja...
  4. Fascinating

    Tanzania na Uchaguzi wa 2025: Kutoka Kisiwa cha Amani Hadi 'Pressure Cooker' – Vusi Thembekwayo

    Hivi karibuni, mchambuzi wa masuala ya kibiashara na mikakati ya uwekezaji Vusi Thembekwayo ametoa uchambuzi mzito kuhusu hali ya Tanzania baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025. Vusi, ambaye amekuwa akizuru Dar es Salaam kwa zaidi ya muongo mmoja, anasema kile alichokishuhudia safari hii kimemshtua...
  5. Genius Man

    Wananchi wanayo haki ya kumpindua samia wanapo kunyima kazi unatakiwa hujiuzuru hii ni nchi ya kidemokrasia wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho

    Wananchi wanayo haki ya kumpindua samia wanapo kunyima kazi unatakiwa hujiuzuru hii ni nchi ya kidemokrasia wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho. Wananchi ndio wanauwezo wa kumpa kazi mtu yoyote awe rais na ndio wana uwezo wa kutengua raisi sasa kama wakimkataa ataongoza wakina nani ? D25...
  6. one one chief

    Je, ni kwanini Wakenya wanaonesha Moyo mkubwa wa kuunga mkono mapambano ya kidemokrasia Tanzania, Ila majirani wengine kimya?

    Katika siku za hivi karibuni, mitandao ya kijamii imejaa sauti kutoka kwa Wakenya, hasa vijana, wakionesha mshikamano wa dhati na Watanzania wanaopaza sauti dhidi ya mifumo ya ukandamizaji, ukiukwaji wa haki za binadamu na matumizi mabaya ya madaraka. Hali hii imezua mjadala mpana: kwa nini...
  7. THE BIG SHOW

    Baraza la maaskofu nchi hii ni ya kidemokrasia na siyo ya mfumo wa kikristo wala mfumo wa dola ya kiislamu acheni kuipa amri serikali

    Friends and Our Enemies, Kuna ajenda ya udini inaendelea chini chini na haikuanza leo dhidi ya Rais Samia,Ajenda hiyo ilijicha kwa muda mrefu sana lakini hivi sasa ni wazi kabisa imejionyesha ni nani alikuwa mastermind wa ajenda hiyo. Kama sote tutakuwa na kumbu kumbu vinara wa uchochezi na...
  8. Genius Man

    Kwa muujibu wa katiba rais ni yule aliyechaguliwa kidemokrasia na wananchi haisemi kujiwahisha kujiapisha kuwa tayari wewe ni rais

    Kwa muujibu wa katiba rais ni yule aliyechaguliwa kidemokrasia na wananchi haisemi kujiwahisha kujiapisha kuwa tayari wewe unakuwa ni rais, haisemi kununua watu waku fanyie uchawa kuwa wewe unaweza kuwa rais kinyume cha kuchaguliwa na wananchi. Kitendo kilichofanyika ni kujitangaza kuwa ni rais...
  9. Mikopo Consultant

    'Apumzike!': Hoja ya ujumla na isiyotekelezeka, isiyo na misingi ya kisheria, na imekosa pumzi ya kidemokrasia!

    Mpaka sasa kuna kelele chungu nzima, za kumtaka Rais Kikwete apumzike. Mimi sioni kama ni sawa; naiangalia kama kitendo cha kuingilia uhuru binafsi wa mstaafu Kikwete, kama mtu binafsi. Hata yeye binafsi atakuwa anashangaa kwamba: 'unanipangiaje cha kufanya na kutokufanya angali sivunji...
  10. Tlaatlaah

    Gwajima anapohubiri udini na kuchochea uasi kwa waamini wa kikristu dhidi ya mamlaka za serikali na michakato ya kidemokrasia anajua athari zake?

    Hivi anadhani wananchi wasio wakristo, anaowapiga vita waziwazi wanajiskiaje? Na je nao ustahimilivu wao wa kibinadamu ukiwashinda na wakaamua kujibu mapigo kutumia dini zao dhidi ya ukristo, kitatokea nini Tanzania na kwa faida ya nani katika taifa letu la amani, umoja na mshikamano? Ni...
  11. Manyanza

    Tanzania tuna mfumo wa kifalme uliovaa suti ya kidemokrasia

    Kinaoendelea Tanzania ni mfumo wa kifamilia, kifisadi na kiukoo unaovaa kanzu ya "amani na utulivu". Tuuchambue kwa kejeli kali na ukweli mchungu: 1. Salma Kikwete kapita bila kupingwa Mama wa kifalme. Si kwa sababu ya uwezo, bali kwa jina tu. Watu wanashangilia kama vile kapita kwa mapenzi...
  12. Investigation Unit

    David Kafulila: Ni ngumu kujenga Demokrasia kwenye nchi masikini

    Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila anasema, Akirejelea Utafiti unaosema kwenye nchi ambazo watu wake wanakipato chini ya DOLA 1,000 Kwa mwaka zinaweza kuishi kidemokrasia si zaidi ya Miaka 10 tu na baadae kuangukia kwenye Tawala nyingine zisizo za...
  13. Genius Man

    Wizi mkubwa kwenye serikali isiyo ya kidemokrasia

    Pesa zinakopwa asilimia 100% zikifika nchini unakuta asilimia 60% ni kwaajili ya magari ya kifahari na matumizi yao kisha hizi 40% ni za wananchi na miradi ya maendeleo. Licha ya asilimia hizi kubaki ndogo 40% zinapoingia mfano kwenye miradi nazo zinaibiwa alafu serikali wanabaki wanashangaa...
  14. sanalii

    Kwanini polepole hakujiuzulu kwenye uongozi wa magufuli kama kigezo ni utawala bora wa kidemokrasia?

    Huyu mtu ndio alikua akitamba kwa "vieite", alikua yupo madarakani ulipofanyika uchaguzi wa serikali wa mitaa uliokua wa hovyo sana na wapinzani kukatwa, alikua yupo kwenye uongozi uchaguzi wa 2020. Kifupi CHADEMA wanasahau sana na ni wepesi kuwa deceived. Polepole anaondoka kwa maslahi yake...
  15. K

    Jinsi Wasomi Wanavyochangia Tanzania Isiyo ya Kidemokrasia BY Chat GPT

    Jinsi Wasomi Wanavyochangia Tanzania Isiyo ya Kidemokrasia Katika jamii nyingi, wasomi hutegemewa kuwa mstari wa mbele katika kuendeleza demokrasia, haki za binadamu, na uwajibikaji wa serikali. Hata hivyo, hali ya mambo nchini Tanzania inaonyesha kuwa sehemu ya wasomi wanachangia kudidimiza...
  16. Genius Man

    Samia wakati anaingia madarakani alitupa tumaini la kidemokrasia na alisema ataongoza tu awamu moja sasa hivi amebadilika

    Samia wakati anaingia madarakani kama rais alitupa tumaini la kidemokrasia na alisema ataongoza tu awamu moja sasa hivi amebadilika. Samia wa sasa hivi sio yule tunaye mjua aliyesema atatuvusha tu wakati huu wa majonzi kwa kumpoteza JPM lakini badala yake amebadilika amekuwa tofauti anaminya...
  17. Waufukweni

    DRC yapiga marufuku Vyombo vya Habari kutoa taarifa kumhusu Rais Mstaafu, Joseph Kabila

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku vyombo vya habari nchini humo kuripoti kuhusu shughuli za aliyekuwa Rais, Joseph Kabila, pamoja na kufanya mahojiano na wanachama wa chama chake cha siasa. Amri hii inajiri wakati kukiwa na mvutano mkubwa wa kisiasa kati ya Bw...
  18. Carlos The Jackal

    Bunge la Ulaya laionya Serikali ya CCM , Uchaguzi Mkuu bila Chama cha upinzan chenye Nguvu (CHADEMA) hautakua uchaguzi wa Harali na wa Kidemokrasia!

    Sasa ninawaonya CCM na Machawa wenu , Njia mnayoelekea mbeleni ni Giza kubwa. Warusi na Wachina na Wakorea wasiwadanganye !!. UKWELI NI KUA, UCHAGUZI 2025 BILA CHADEMA, HAUTATAMBULIWA NA BARA LA ULAYA, WALA MAREKANI !!. Nadhani Athari ya Jambo Hilo juuu mnaijua vizuri kabisa !!. Tunaenda na...
  19. E

    CCM inaungwa mkono na vyama vya kikomunisti tu?

    Katika mkutano mkutano mkuu wa CCM unaoendelea jijini Dodoma, karibu vyama vyote vilivyotoa salamu hapa ni vya kikomunisti. Vyama vilivyotoa salamu ni pamoja na Russia (All-Russian Political Party United Russia), China (CPC), Communist Party of China (CPC), Korea Kaskazini Korean Workers' Party...
Back
Top Bottom