Kenani Kihongosi, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, amesema kuwa mara nyingi amani inapopotea, watu wanaopata tabu ni watu wenye mahitaji maalumu, wazee, watoto, akina mama na watu wasio jiweza.
Kihongosi amesema hayo wakati akifunga...