kauli za chuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere: Kutafuta uongozi kwa kutumia dini au kabila unagawa watu. Kazi ya uongozi ni kujenga watu wawe kitu kimoja

    Hotuba ya Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1995 kuelekea uchaguzi Mkuu "Wako viongozi wakishindwa kupata sifa, kupata kura kwa sera, kwa kusimama, 'Wananchi tuchagueni kwa sababu mkishatuchagua sisi tutafanya mambo kadhaa kadhaa kadhaa, hoja...' Na wananchi wakawasikiliza vizuri kwa makini...
  2. R

    JamiiForums Tanzania FIFA imefanikiwa kuzuia maoni Milioni 7 yaliyolenga kauli za chuki na ubaguzi kwa wachezaji na wafanyakazi

    Shirikisho la soka Duniani FIFA kwa kutumia Mfumo wa kidigitali 'Social Media Protection Service - (SMPS), ambao ulikuwa ukitumika kwa timu zote, makocha, wachezaji na maafisa wanaoshiriki mashindano ya FIFA, iliweza kuzuia zaidi ya machapisho na maoni milioni 7 yaliyokuwa na uwezekano wa kuwa...
  3. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Kauli za chuki si siasa, ni tishio kwa mshikamano wa Taifa

    Kauli za chuki zinaweza kuzua taharuki, kuvunja mshikamano wa kitaifa na kugeuza tofauti za kisiasa kuwa migogoro ya kijamii. Zinapolenga watu kwa misingi ya kabila, dini, eneo wanakotoka au itikadi zao za kisiasa, hujenga mazingira ya kutokuaminiana, uhasama na mgawanyiko miongoni mwa wananchi...
  4. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inafuta Visa kupitia X

    Wakuu kuweni makini na mienendo yenu huko mitandaoni hasa kama unatumia ID inayokufanya ujulikane kwa urahisi. Mambo yamekuwa si mambo huko X baada ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kutangaza kupitia X kwamba haitowakaribisha wageni wowote wanaotamani kifo kwa Wamarekani, ikionyesha wazi...
  5. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole: Uchaguzi Mkuu 2020 kuna waliotaka fomu moja majimboni, tuliwakatalia

    Akiongea kupitia Facebook, Humphrey Polepole amesema "Hata wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna watu huko kwenye majimbo yao walianza kutaka baadhi ya majimbo fomu iwe moja lakini tulikataa kwasababu ni utaratibu wa Chama Cha Mapinduzi hauruhusu fomu moja"
  6. W

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutambua Kauli za Chuki "Hate Speech" Mtandaoni

    Kwa lugha rahisi, lugha ya chuki ni mawasiliano ya matusi, dharau au uchochezi dhidi ya mtu au kundi la watu kwa sababu ya utambulisho wao wa kuzaliwa – mfano rangi ya ngozi, dini, jinsia, kabila, uraia n.k. Lugha hii huumiza, huleta mgawanyiko, na inaweza kutishia amani ya jamii. Kwa mujibu wa...
Back
Top Bottom