Kwa lugha rahisi, lugha ya chuki ni mawasiliano ya matusi, dharau au uchochezi dhidi ya mtu au kundi la watu kwa sababu ya utambulisho wao wa kuzaliwa – mfano rangi ya ngozi, dini, jinsia, kabila, uraia n.k. Lugha hii huumiza, huleta mgawanyiko, na inaweza kutishia amani ya jamii.
Kwa mujibu wa...