katiba ya tanzania

This article lists political parties in Tanzania. The country operates under a dominant multi-party system with the ruling party being in power since the nation attained its independence in 1961. It first governed as the Tanganyika African National Union, before merging with the Afro-Shirazi Party to form the Chama Cha Mapinduzi.

View More On Wikipedia.org
  1. Bawabu wa pili

    Prof. Abdallah Safari: Kiswahili sio lugha Taifa kwa mujibu wa sheria, tunatumia kimazoea tu

    prof. Abdallah Safari ambae ni Profesa wa sheria na muandishi nguli wa vitabu ambae amewahi kuandika vitabu kama vile riwaya ya Joka la Mdimu katika mahojiano yake ameeleza kuwa lugha ya kiswahili sio lugha ya taifa bali tunaitumia tu kimazoea akirejelea kuwa katiba haina kifungu kinachobainisha...
  2. Genius Man

    Katuni hii ya katiba inakupa picha gani?

  3. Rorscharch

    Katiba Nzuri Sana Huvunja Taifa Polepole: Hadithi ya Afrika Kusini, Onyo kwa Watanzania

    Kuna maradhi ya kimyakimya yanayoshambulia mataifa ya Kiafrika, si kwa mapanga wala risasi, bali kwa nyaraka nzuri zilizopambwa kwa wino wa kimataifa. Maradhi haya si mengine bali ni imani butu kwamba katiba nzuri, yenye maneno matamu ya haki na uhuru, ni tiba ya kila ugonjwa wa taifa. Afrika...
  4. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Msajili wa Vyama, hana mamlaka kufungia/kufuta vyama chini ya muda wa miezi 12 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    "Msajili wa Vyama vya Siasa, Serikali au Mahakama kuzuia CHAMA cha SIASA kufanya shughuli za Siasa kwenye mwaka wa Uchaguzi." Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025 Amesema hayo leo Julai 1, 2025 Mahakamani wakati akifafanua hoja kwenye shauri la uhaini...
  5. technically

    Katiba ya Tanzania irekebishwe kuwe na sifa kuu ya kuwa Mbunge iwe Msomi wa Sheria,Uchumi, Maendeleo ya jamii na maswala ya fedha!

    Huu ni ushauri Pia waonyeshe mradi wowote waliowai kufanya kupitia elimu yao. Na waonyeshe matatizo na changamoto zilizopo kwenye majimbo yao na vipi watazitatua. Waseme ni jinsi gani wataisimamia serikali.! Bungeni kupeleka vilaza inachosha Sana Waangalie wanaoenda kuchukua form vilaza...
  6. Just Pray

    PreGE2025 Waziri Damas Ndumbaro awataka wanasiasa wote kuheshimu na kulinda katiba ya Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu

    Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ametoa wito kwa Wanasiasa wote nchini kutoka vyama vyote vya siasa kuhakikisha wanalinda na kuheshimu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hasa wakati huu ambapo taifa linaelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025...
  7. Mathanzua

    Wazo la siku: Katiba bora ni nzuri, lakini vizuri zaidi ni uadilifu wa wasimamizi wa Katiba hiyo

    Katiba Bora ni kitu muhimu, hilo halina mjadala na ubishi. Lakini mwisho wa siku kama wanaoisimamia hiyo 'Katiba Bora' ni wezi, wachumia matumbo, majitu yenye ubinafsi uliokithiri na wasiokuwa na uzalendo; basi Katiba bora yo yote huwa ni bure ghali. Rais Magufuli, Rais wa tano wa Tanzania...
  8. S.M.P2503

    Maana na vipengele vya kosa la uhaini kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na sheria zingine husika

    MAANA NA VIPENGELE VYA KOSA LA UHAINI (TREASON) KWA MUJIBU WA KATIBA YA TANZANIA NA SHERIA ZINGINE HUSIKA Povu Ruksa Ila Kwa vifungu sio maneno Matupu. 1. Maana ya Uhaini (Treason) Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, kosa la uhaini linahusiana na vitendo vinavyolenga kuangusha serikali halali...
  9. R

    Kwanini Katiba ya Tanzania haina sahihi (signature)?

    Nimetafuta nakala mbalimbali za Katiba ya Tanzania lakini hakuna sahihi? Ni zipi sababu zilizopelekea tusitie sahihi kama ilivyo kwenye sheria na nyaraka nyingine?
  10. T

    Kutoka Kenya: Mchakato wa wenzetu kumng'oa Naibu Rais unaumbua ubovu wa katiba yetu

    Kwa kadri nilivyofuatilia Mchakato wa kumng'oa Naibu Rais wa Kenya nimejifunza kwamba tuna kazi kubwa sana ya kufanya ili kupata katiba inayolinda maslahi ya wananchi. Yaani hapa kwetu ukiwa wewe ni Mbunge Rais hata Diwani ukikosana na mwenyekiti wako wa chama akakufukuza uanachama basi...
  11. Yoda

    Kipengele gani cha Katiba ya Tanzania kinachopiga marufuku uraia pacha?

    Ni sehemu gani katika Katiba ya Tanzania inaposema ukiwa raia Mtanzania ukachukua uraia wa nchi nyingine unakuwa umepoteza uraia wa Tanzania?
  12. Tlaatlaah

    Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

    Kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo. Mbaya zaidi, inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana...
  13. milele amina

    TLS: Katiba ya Tanzania inasemaje kuhusu uteulizi wa aina hii?

    Katika muktadha wa siasa na utawala wa Tanzania, suala la uteuzi wa watu kutoka maeneo mbalimbali kuwa viongozi katika maeneo mengine linaweza kuleta maswali mengi kuhusu utaifa, utamaduni, na ushirikiano wa kikabila. Katika kesi hii, mtu aliyezaliwa Zanzibar na kuwa raia wa Zanzibar...
  14. and 998 others

    Rais na Makamu wasipokuwepo nchini Nani Anakaimu?

    1. Naomba kujuzwa utaratibu wa kikatiba unasemaje endapo Rais na Makamu wa Rais wanapokua nje ya nchi Kwa wakati mmoja. Ni Nani Anakaimu nafasi ya Rais Kwa Katiba ya Sasa? 2. Jibu Kwa kutaja kifungu cha Katiba iliyopo (toleo), usijibu kama upo vilingeni.
  15. M

    Kwa mujibu wa Katiba. Nini maana ya Mungu na yupi ni Mungu wa taifa hili?

    Wimbo wa taifa ni miongoni mwa tunu za taifa. Ktk wimbo huo kuna maneno Mungu ibariki Tanzania. Swali. Katiba yetu na sheria inatafsiri gani ktk maswali haya. 1. Nini maana ya Mungu 2. Nani au yupi ni Mungu wa Tanzania a. Mwenge b. Eloi c. Allah d. Yesu
  16. Mwande na Mndewa

    Katiba yetu ni shamba nono linalonufaisha kizazi cha watu fulani, marafiki zao na washkaji zao

    Hii katiba iliyopo ni shamba, ni mradi kuna watu wanaifurahia wao na vizazi vyao, wao na rafiki zao, wao na washikaji zao, kwa hiyo wasingependa kuiona ikibadilika kwa sababu ndiyo shamba lao watakula wapi? Na hili shamba ni kubwa na nono, ndiyo maana kila siku tunapigwa danadana. Lakini jambo...
  17. Pascal Mayalla

    Rais Samia Mgeni Rasmi AGM ya TLS: Wanasheria Tumweleze Ukweli Kuhusu Ubatili wa Katiba Yetu na Sheria Zetu, Turudishe Haki Kuu ya Msingi

    Wanabodi, Utambulisho Japo sisi wanabodi wa jf, tunaitana wanabodi, na kutambuana kwa majina yetu ya ki jf jf, sio mbaya kunapotokea hoja ya msingi kwa mustakabali mwema ya nchi yetu, watu tukajitambulisha tena humu who we real are, hivyo mimi mwana JF mwenzenu, Pascal Mayalla, (Pasco wa JF)...
  18. Allen Kilewella

    Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifia Wakenya

    Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo. Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani. Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia. Sisi hapa bado...
  19. Cute Wife

    PreGE2025 CCM na Serikali tuambieni ukweli, kelele za kutaka X(Twitter) ifungiwe ni maandalizi ya kuzima mitandao kipindi cha uchaguzi

    Wakuu, CCM hivi hamuoni vibaya? Mpaka sasa Club House haipatikani halafu tena hao kunyanyua midomo eti mnataka kufungua X(Twitter) kwa kisingizio eti inahamasisha maudhui ya Ushoga! Huu ni mtandao pekee ambako kuna maudhui ya ngono nchini? Kuna Instagram, Tiktok, Facebook, huku hakuna...
  20. J

    Katiba ya Tanzania tuliirithi katika mfumo wa Kifalme wa Uingereza hivyo Rais ni kama Mfalme na family yake ni sehemu ya Taasisi!

    Kuna mambo Yako wazi kabisa na hauwezi kumlaumu Rais yoyote wa JMT kwa sababu Katiba imetoa Mwanya Rais wa JMT ni sawa kabisa na Mfalme ndio sababu first Born wa Rais wa awamu fulani humu Mitandaoni alibatizwa kama Prince Tangu enzi za Nyerere taasisi ya urais iliwahusu pia Ndugu na...
Back
Top Bottom