Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma imeondoa shauri la awali lililofunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima.
Maombi ya kuondoa shauri hilo yaliwasilishwa na waleta maombi...
Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika maeneo ya Ubungo Kibo, jijini Dar es Salaam, kufuatia taarifa za uwepo wa hatari ya vurugu baada ya ibada.
Hatua hiyo imekuja baada ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne, kueleza kuwa kumekuwa na taarifa za baadhi ya...
Maandiko matakatifu kutoka Kwa YESU mwenyewe alionya kuhusu siku za mwisho, YESU akasema "Yoyote atakayeipenda Nafasi yake ataangamia, Na yeyote atakayeitoa Nafasi yake Kwa ajili yangu ataurithi Uzima wa Milele".
Maisha ya Duniani ni mapito tu , Kuishi na Kufa bila Kristo ni Hasara ...
Baada ya Jeshi la Polisi kudhibiti eneo lote la pembezoni mwa barabara ya kutoka Ubungo Maji hadi Kibo kutawanya waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima, waumini hao wameibukia kwenye Kanisa la Kiluthel Afrika Mashariki (KKAM) na kuendelea na ibada.
Kanisa hilo lipo...
Kanisa la Ufufuo na Uzima Glory Of Christ Tanzania Church lililopo Ubungo Kibo Dar Es Salaam bado limeendelea kuwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi baada ya zuio la waumini wa kanisa hilo kusali kanisani hapo.
Nje ya kanisa na maeneo jirani hasa yale yaliyotumika kufanya ibada baada ya...
Nimepita maeneo ya Ubungo nikiwa naelekea kwenye harakati zangu, naona Polisi wamejaa kanisani kwa Gwajima baada ya yeye kutangaza atashiriki ibada ya Jumapili ya leo.
Wengi wapo barabarani wanafunga utepe. Kwakuwa speed ya gari ilikuwa kubwa sijafanikiwa kuchukua picha ya haraka.
Pia...
askari
askari polisi
dar
dar es salaam
gwajima
josephat gwajimakanisakanisagwajimakanisagwajima lafungwa
kanisa la askofu gwajima
makanisa ya gwajima
mkali
polisi
ubungo
ufufuo na uzima
ulinzi
ulinzi mkali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.