Kwenda kusaini kitu kinachoitwa Maadili ya uchaguzi bila kufanyika kwanza reforms ni sawa kabisa na kusaini hati ya kifo chako wewe mwenyewe.
Mimi niwaombe sana ndugu zangu wapigania uhuru wa Nchi hii, CHADEMA, kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa, ebu tuwaachie watawala waendelee kuchaguana wao...