john magufuli

John Pombe Magufuli
John Pombe Joseph Magufuli (29 October 1959 – 17 March 2021) was the fifth president of Tanzania, serving from 2015 until his death in 2021. He served as Minister of Works, Transport and Communications from 2000 to 2005 and 2010 to 2015 and was chairman of the Southern African Development Community from 2019 to 2020.

First elected as a Member of Parliament in 1995, he served in the Cabinet of Tanzania as Deputy Minister of Works from 1995 to 2000, Minister of Works from 2000 to 2005, Minister of Lands and Human Settlement from 2006 to 2008, Minister of Livestock and Fisheries from 2008 to 2010, and as Minister of Works for a second time from 2010 to 2015.Running as the candidate of Chama Cha Mapinduzi (CCM), the country's dominant party, Magufuli won the October 2015 presidential election and was sworn in on 5 November 2015; he was re-elected in 2020.

He ran on a platform of reducing government corruption and spending while also investing in Tanzania's industries, but his rule had autocratic tendencies, as seen in restrictions on freedom of speech, restrictions on LGBT rights, and a crackdown on members of the political opposition and civil society groups.

Magufuli was known for promoting misinformation about COVID-19 during his leadership over the pandemic in Tanzania. After a lengthy absence from public appearances, unconfirmed rumours circulated that he, himself, had been hospitalized with the disease.

His death on 17 March 2021 was attributed by the government to a long-standing heart issue. He was succeeded by his Vice-President, Samia Suluhu.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Aliyekuwa mlinzi wa hayati Magufuli yupo Chato kwenye kumbukizi

    Miongoni mwa waliohudhuria Misa Takatifu ya kumbukizi ya miaka mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli, ni Wilfred Mwango, aliyewahi kuwa mlinzi wake binafsi. KUMBUKIZI | Magufuli: Siku moja mtanikumbuka, na mimi najua mtanikumbuka kwa MAZURI si kwa MABAYA Picha hii...
  2. MakinikiA

    Kuelekea kumbukizi ya John Magufuli

    Tuanze kumkumbuka kwa hili la kununua ndege, Wapo waliokebehi na kuzarau niwaulize Je kama asingenunua hizo ndege wale watanzania waliosaidiwa kurudishwa Tanzania kutoka Saudi Arabia wangepanda Fuso kurudi Tanzania?
  3. Waufukweni

    PostGE2025 Faris Buruhani: Samia tayari ameifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa kama alivyotamani John Magufuli

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, Samia tayari ameifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa kama alivyotamani John Magufuli
  4. Fbn

    PostGE2025 Hata kipindi cha Hayati Magufuli alitokaga Waziri Mkuu akadai yupo mzima na anachapa kazi

    Nimerudi nyuma kukumbuka kipindi kile cha JPM na waziri mkuu. Tokea ile hotuba Who are You kufanya sasa wazee hawapishwi siti. Kwa nini kila mtu anatoka kumuongelea wakati kuna protocal za kiserikali kama juzi RC wa dar kuitosha vyombo vya habari wakati ilitakiwa msemaji ndio kutoa taarifa...
  5. Fbn

    PostGE2025 Marehemu hasemwi ila Hayati Magufuli haya ndio mabaya uliyotuletea japo una mazuri yako

    Unajua kuna watu duniani naweza kuwafananisha na kiungo kinachopendwa sana kwenye chakula kitamu japo kina mateso na kukuacha na vidonda vya tumbo mda mwengine ni pilipili. Utawala wa Magufuli ndio ulianza kutengeza mifumo ya uditekta wazi au tuseme njia rasmi ambayo ilikuwa hata angekuwa yupo...
  6. PAYE

    GE2025 Makonda: Samia ni Dada wa Hayati Magufuli

    Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekamilisha na anaendelea kutekeleza miradi mbalimbali aliyoachiwa na mtangulizi wake Dk. John Magufuli ikiwamo daraja la Kigongo-Busisi ambalo ni refu zaidi Ukanda wa Afrika...
  7. Membe S K

    Nitajibu upotoshaji wa ndugu Polepole juu ya uhusika wa hayati Bernard Membe (RIP) kwenye kifo cha hayati John Magufuli (RIP)

    Upotoshaji wa aina ya Polepole unatakiwa ujibiwe ndani ya masaa 48. Stay tuned as I take him for a task.
  8. W

    TBT- Magufuli: Nilichaguliwa ili kuwaaibisha waliokuwa wamezoea kuiba hela, Sikuja kuuza sura

    Wakuu Hayati Magufuli kuna wakati hakuwa na mchezo na wabadhilifu wa mali za umma, ingawa kwa sasa tunasikia wamerudi kwa kasi ya 5 G wakiendelea kujitanua Hayati aliwahi kusema yeye hajali kupendwa kwa sababu akishampenda mkewe inatosha bali yeye amechaguliwa ili kuwaaibisha waliokuwa wanaiba...
  9. U

    GE2025 Wajumbe katika uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi la vijana wa UVCCM wamewachagua wagombea sita akiwemo Jesca John Magufuli kuwa wabunge

    Wajumbe katika uchaguzi wa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi la vijana wa UVCCM wamewachagua wagombea sita akiwemo Jesca John Magufuli kuwa wabunge wa Viti Maalum kupitia kundi hilo kwa Tanzania bara. Katika matokeo yaliyotangazwa alfajiri ya leo, Agosti 2, 2025, kwa upande wa Tanzania Bara...
  10. B

    2015 CCM ilipokosa Mgombea anayekubalika ilibidi Wamchague Hayati Magufuli kupeperusha Bendera, Mwaka huu 2025 wakikosa Mgombea watakimbilia wapi?

    Nilikuwa nawaza hapa leo hii asubuhi baada ya kutoka mazoezini. Kwamba Mwaka 2015 kulitokea sintofahamu katika uteuzi wa Mgombea wao. Vurugu kati ya Befnard Membe na Edward Lowasa. Basi ilibidi wachakate akili haraka sana na wakaona Hayati Jpm angewafaa na wakafanikiwa. Sasa je ikitokea kwa...
  11. R

    PreGE2025 Mfupa uliomshinda Magu, Heche na CHADEMA wanauweza.

    Hello! Magu na uzalendo na upendo wake kwa wananchi maskini alishindwa kupiga marufuku kamari ambayo kwa jicho la haraka ni Kodi kidogo inaingia serikalini, lakini inaleta hasara kubwa kwa kuwafanya vijana wengi kutofanya kazi wakiamini betting ni mojawapo ya kazi. Pesa nyingi inaenda nje...
  12. P

    Kuna watu bado wapo hai ila hawaongelewi ila Magufuli bado anaishi mioyoni mwa watu

    Magufuli hatokaa asahaulike hadi atakapopatikana jembe lingine. He lived a glorified life for his nation.
  13. M

    PreGE2025 Hayati Magufuli angekuwa hai mwaka huu ndio angekuwa anamaliza awamu ya pili na Kustaafu

    Habari za j2 Nimekaa nikamkumbuka chuma John Pombe Magufulu kuwa angekua hai inamaanisha huu mwaka ndio angekua anamaliza awamu yake ya mwisho na kuwa Rais Mstaafu! Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya...
  14. Sifi Leo

    Ukishangaa ya Magufuli njoo uyaone ya Mbunge Musukuma na Kituo cha Polisi

    Kwa kweli nalilaani tetemeko la ardhi lililotokea Bukoba na kusababisha vifo vya baba, mama, bibi, anko, shangazi na wadogo zangu. Pia ninalaani vikali wale waliotumia rambi rambi zilizochangwa na ndugu na jamaa wema kwa wahanga wa tetemeko kutumika kuboresha magereza mkoani Kagera. "Hivi...
  15. M

    Hayati Magufuli alikuwa smart?

    Kwema ndugu? Kutokana na kuenea kwa baadhi ya maneno kwamba bwana yule alikuwa mshamba, katili n.k, nikaona acha nitafute ukweli juu ya haya. Nimepitia documentaries nyingi, hapa JF na nje ya JF. Ila kuna moja imeniacha hoi. Nayo ni ya mmoja wa members humu, akidai kuwa amewahi ku interact na...
  16. M

    Trump ni Magufuli mweupe, anachokisema anakitekeleza haraka, wiki 1 tu kafukuza wahamiaji haramu na Kafuta USAID. Rais Samia pata somo

    Kasi ya Trump kwenye kutekeleza maamuzi magumu ni kubwa sana, natamani Rais wetu Samia na yeye awe na hii kasi. Hata Tanzania kuna taasisi kibao zinafilisi serikali hakuna cha maana zinazofanywa zinapaswa kufutwa fasta fasta TRUMP anatoa THANK YOU haraka kuliko thank you za Simba na Yanga.
  17. Expensive life

    Moja ya hotuba nadra sana kuisikia nyakati hizi

    Moja ya hotuba zake bora ni nadra sana kuzisika kwasasa.
  18. Sir John Deere

    Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

    Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji. Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua...
  19. Accumen Mo

    Rais Samia unapotoshwa sana, Magufuli alikuwa sahihi sehemu nyingi japokuwa ana makosa ya kibinadamu

    Wasalaam wanajf Kama kichwa mada hapo, hili suala linasikitisha sana kwa kweli nimeona nitoe ya moyoni juu yanayoendelea, inasikitisha sana pale ambapo tunaona Rais anafumua mifumo ya mtangulizi wake bila ya kujua uhalisia wa mambo hayo. Pia nikupongeze kwa kumteua Bw. Lyimo kuwa kamishina wa...
  20. D

    Kwani Kikwete alikuwa anatumia mbinu gani kuiongoza nchi? Ajira zilikuwa kila mahala

    Kipindi cha JK hakuna aliyehitimu ualimu au udaktari ambaye hakupata ajira serikalini labda usiende kulipoti wewe mwenyewe kwa sababu private sector napo kulikuwa very strong hivyo mtu anafanya choice tu. Kipindi cha JK mpaka wazazi walikuwa wanawahimiza watoto wasomee ama ualimu au udaktari...
Back
Top Bottom