Kwa mwenendo ulivokuwa hapo nyuma wa siasa katika nchi yetu, sikuona kabisa umuhimu wa kwenda kupiga kura katika uchaguzi ujao. Nilikata tamaa kabisa ya kura yangu ya mabadiliko kuheshimiwa.
Ila sasa nabadili gia, natamani hiyo siku ifike haraka nikapige kura tena kuyatafuta maendeleo ya kweli...
Kitendo cha Maalim Seif kujiunga na ACT wazalendo na kuikacha Chadema kama wengi tulivyodhani sio jambo la kukurupuka ila ni well calculated timing attack against a well organized super power CCM.
JPM ni mtu hatari sana kwenye siasa, ni mtu anayeona tatizo kwa haraka na kujiandaa kulikabili...
Kwanza nianze kwa kuwasalimu.
Pili naomba hiki kilio kiwafikie mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano na waziri wa Fedha na Mpango. Ni kuhusu sisi Wafanyakazi wa YONO AUCTION MART na TARUA hapa Mbeya.
YONO AUCTION MART umeingia kama mkusanyaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.