jerry silaa

Jerry William Silaa
Jerry William Silaa (1982) ni mwanasiasa kutoka nchini Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi, August 2023 aliteuliwa na Rais Samia Suluhu kuwa Waziri wa Ardhi, Nyuma na Maendeleo ya Makazi.
  1. Sababu za Jerry Silaa kukumbwa na mikosi

    Siasa za makundi na kushindwa kusoma alama za nyakati ndio vinatajwa kuwa sababu ya mikosi anayopata aliyekuwa Mbunge wa Ukonga na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa. Mkosi wa hivi karibuni uliompata ni Kesi Ardhi Namba 000032646 ya Mwaka 2024, shauri hilo linatokana na...
  2. Mahakama yaamuru aliyevunjiwa Ghorofa na Jerry Silaa alipwe Tsh. 3.2 Bilioni

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi imeagiza aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, na Naomi Raymond Kwayu (Fainess Dawson Kiwia) kumlipa Johnsen Leonard Mahururu Shilingi za Kitanzania Bilioni tatu, na milioni mia mbili ishirini...
  3. Lema aliwahi kumwambia Jerry Silaa 'Wacha kujibu watu ovyo na kipumbavu, your downfall is coming'

    "Wacha kujibu watu ovyo na kipumbavu, kwanI unafikiri wewe ni nani ? Your downfall is coming. Nakuonya, una develop character fulani hivi ya KIBURI SANA.STOP NÓW"
  4. GE2025 Jerry Silaa aliikosea nini mamlaka?

    Jamaa yangu alisimamia uchaguzi. Walikuwa na maelekezo ya kuwapa ushindi chama tawala. Sasa najiuliza Jerry Silaa ameshindwaje Ubunge huku akiwa Waziri? Ni wapi aliikosea mamlaka mpaka akapoteza Ubunge wake?
  5. PostGE2025 Jerry Silaa Waziri pekee aliyeshindwa kutetea Jimbo, Bakari Shingo mbunge mteule wa jimbo la Ukonga

    Katika jambo ambalo halikutarajiwa katika jimbo la Ukonga na wachunguzi wengi na watafiti wa siasa ni kitendo cha Mhe.Jerry William Silaa na aliyekuwa Waziri wa Habari Teknolojia na Mawasiliano ya Habari kushindwa kutetea jimbo lake mbele ya Bakari Shingo, aliyekuwa mgombea ubunge wa Act katika...
  6. GE2025 Jerry Silaa yupo Polisi kwa kuvuruga uchaguzi jimbo la Ukonga

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga Kupitia CCM amepigwa chini katika jimbo hilo huku taarifa zikisema kuwa amekamatwa na jeshi la Polisi kwa kuvuruga uchaguzi katika jimbo hilo.
  7. A

    KIMENUKA: Kimenuka CCM yatakiwa kumzuia Jerry silaa kucheza 'rafu' ukonga ziara ya Mchengerwa yatajwa kuwa kampeni ya kificho

    Baadhi ya watia nia ya ubunge kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu ujao katika Jimbo la Ukonga, Ilala, Dar es Salaam wamemlalamikia mbunge aliyemaliza muda wake, Jerry Silaa kwa kitendo chake cha kuanza kupiga kampeni kabla ya kipyenga kupulizwa. Wamsema kitendo hicho, licha ya kwenda...
  8. GE2025 Jerry Silaa: Kwaheri ya kuonana kivule sina deni na nyie

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Na Aliyekuwa (Mbunge Ukonga) Jerry Silaa akizungumza Na Wananchi Wa Kitunda Jimbo La Ukonga Katika Eneo Ambalo Atakabidhiwa Mkandarasi Barabara Ya Banana,Kitunda,Kivule Mpaka Msongola Kwaajili Ya Kuanza Ujenzi Hivi Karibuni
  9. PreGE2025 Jerry Silaa achukua Fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga

    Jerry Silaa, amejiunga rasmi katika mchakato wa kuwania ubunge kwa kuchukua fomu ya kugombea Jimbo la Ukonga, jijini Dar es Salaam. Hatua yake ya kuchukua fomu inakuja wakati ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
  10. PreGE2025 Jerry Slaa: Tuli-discourage matumizi ya X kwa taasisi za Serikali ili kuendana na katazo la Serikali la kuiondoa X kwenye anga letu

    Wakuu, Akiwa kwenye kile kipindi cha Cafe Talk, Silaa amesema kwamba kutokana na kufungiwa kwa X Tanzania, Serikali ime-discourage taasisi zake kutumia mtandao wa X ili kuendana na katazo hilo. "Currently tume-suspend X kwenye anga la Tanzania lakini kuna kitu kinaitwa Virtual Private Network...
  11. Waziri Jerry Silaa: Tumeanza kuuza Internet nje ya nchi

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema Tanzania imeanza kuuza intaneti nje ya nchi baada ya mkongo wa taifa kuongezewa uwezo.
  12. PreGE2025 Waziri Jerry Silaa: Kuzuiwa kwa Mtandao wa X ni kutokana na kukiuka sheria, kanuni, na utaratibu ambao Tanzania imejiwekea

    Waziri wa Mawasiliano Nchini Tanzania Jerry Silaa akifanya mahojiano katika kipindi cha Cafe Talk yaliyofanyika mapema leo jijini Dar es salaam. ameeleza kwa kina na kutoa sababu iliyoplekea serikali kufungia mtandao wa X kwasababu ilijiondosha kwenye kanuni za maudhui ya nchi yetu na kuruhusu...
  13. R

    PreGE2025 Wameanza kuombewa na Masheikh mixa Wachungaji, muda si mrefu waganga wanarudi kwenye soko. October pamoto!

    Waziri wa Mawasiliano na Mbunge wa Jimbo la Ukonga Jerry Silaa, amefanyiwa Maombi, kuombewa Dua na kuchangiwa Fedha ya kuchukua Fomu Jimboni ukonga "Nawashukuru sana sana sana wenyeviti wa serikali za mitaa wa Tarafa ya Ukonga hususan Jimbo la Ukonga kwa upendo wao, kunichangia fedha za fomu...
  14. B

    PreGE2025 Waziri Silaa: X(Twitter) walianza kuruhusu picha za ngono, ukiona hupati kitu mtandaoni uje Serikali inafanya kazi kumlinda mlaji

    Leo wamekubali bila chenga kuwa wamefungia X sababu ya maudhui ya ngono! Kampeni ya CCM kutaka kufungia mitandao kabla ya uchaguzi inaenda kutimia. Ila😂😂🤣 kwahiyo na Insta inafuata, Youtube, TikTok, Whatsapp, Facebook, zike channel zoteee kwenye TV nazo zitalimwa, hakuna kusikiliza miziki wala...
  15. Waziri Jerry Silaa: Watumiaji wa Intaneti wamefikia Milioni 49.3 kutoka Milioni 37

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari , Jerry Silaa amesema Watumiaji wa intaneti nchini wameongezeka kutoka milioni 37.3 April, 2024 hadi milioni 49.3 April, 2025 sawa na ongezeko la asilimia 32.3. Waziri Silaa amesema hayo leo May 16,2025 wakati akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma...
  16. PICHA: Jerry Silaa alivyopigwa busu na mkewe kabla ya kuwasilisha hutuba ya bajeti ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, akimbusu mke wake Mariamu, wakiagana naye kabla ya kuingia bungeni kuwasilisha hotuba ya taarifa ya makadirio, mapato na matumizi ya wizara hiyo, jijini Dodoma, leo Mei 16, 2025.
  17. PreGE2025 Jerry Silaa: Amani tuliyonayo watanzania ni tunu kubwa ambayo inatakiwa kutunzwa

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa(Mb), amesema kuwa amani tuliyonayo watanzania ni tunu kubwa ambayo inatakiwa kutunzwa. Waziri Silaa ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika tamasha la Mtoko wa Pasaka ambalo linafanyika katika ukumbi wa...
  18. PreGE2025 Jerry Silaa: Mmiliki wa nchi hii siyo chama chochote cha siasa bali ni Watanzania wote

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa amesema mmiliki wa nchi hii siyo chama chochote bali ni Watanzania wote. Amesema kitendo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kugomea uchaguzi mkuu, ni makosa na pengine wamefanya hivyo kwa sababu wamekosa...
  19. W

    Jerry Silaa: Shirika la TTCL kama ukilitengenezea hesabu rahisi kama za biashara ya kuku basi linapata faida

    Wakuu aliyemuelewa Waziri atueleweshe na sisi anasema kuwa; "Mfano Shirika la TTCL ambayo chini ya wizara yangu. Ingekuwa mashirika haya yanapata hasara kwa aina hiyo ambayo ni hasara ya kawaida ambayo tunaijua kwenye biashara zetu ndogo ndogo maana yake yangesimama, yangekufa. Lakini...
  20. Jerry Silaa: CAG amempongeza Rais Samia

    Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa akizungumza na Clouds FM amesema "Ukisikiliza ile ripoti ya CAG utaona Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Serikali amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ile Ibara ya 143, Ibara ndogo ya 4 ya Katiba ya kupokea taarifa na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…