ist

  1. Wanaume wawili Zanzibar watekwa kwenye gari aina ya IST

    Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii? Rais wa Zanzibari chukua hatua
  2. Kwaiyo Mwanza mmeshindwa kabisa kunipa IST ya milion 6

    Mwanza mna shida gani?? Huu mji hauna magari kabisa bora Dar
  3. Msaada wa kununua gari ndogo (IST)

    Habari zenu, Naomba msaada kwa mtu anayefahamu jinsi ya kuagiza gari nje, gari ndogo aina ya Ist, nimeulizia kwa makampuni ninayoyafahamu naona bei hazipishani na yard japo wanasema bei imepanda(17-18m) Briefly, rafkiangu anataka kuagiza gari (mwenyewe)aina hiyo kupunguza gharama, bila...
  4. Wamiliki wa IST Dar wafikiwa

    Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam kupitia kwa Mkurugenzi wa Halmashauri wa Jiji hilo Ndugu Elihuruma Mabelya amesema, wameandaa tamasha la IST ambalo limelenga kukutanisha vijana wa vyuo mbalimbali kwa lengo la upimaji wa afya bure na kutengeneza fursa tofauti. Soma pia: Wanaosema ist sio gari...
  5. Car4Sale Toyota IST AKA Karibu Japan iko sokoni

    Bei/Price TSH 12.5M Call +255 747 999 927 TOYOTA IST Year: 2004 Engine: 1,490Cc Mileage: 95,608Km Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Android Radio Clean Interior In Good Condition Swap Deals Allowed
  6. Car4Sale Toyota IST Bunduki iko sokoni

    Bei/Price TSH 11.7M Call +255 747 999 927 TOYOTA iSt Year: 2003 Engine: 1,290Cc Mileage: 120,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  7. Car4Sale TOYOTA IST yenye sport rim za kuombea mkopo inauzwa

    Bei/Price TSH 16.8M Call+255 747 999 927 TOYOTA iSt Year: 2002 Engine: 1,490Cc Mileage: 99,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Android Radio Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  8. Natafuta gari ya kununua IST

    Jamani Wana ukumbi natafuta gari ambayo bado Iko kwenye hali nzuri (IST) bajeti yangu ni 7ml 0795154145
  9. Car4Sale Toyota IST iko sokoni

    Bei/Price TSH 17.5M Call+255 747 999 927 TOYOTA iSt Year: 2004 Engine: 1290Cc Mileage: 44,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims 2-SRS Airbags Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  10. H

    Nahitaji IST Old Model budget yangu 8-9.5m

    Nahitaji IST Old Model namba ya usajili yoyote ile but yenye vigezo vifuatavyo: 1. Body iwe nzuri 2. Mwaka wa usajili kuanzia 2017 kuendelea, ili niweze kulipia bima kubwa. 3. Iwe na AC 4. Engine iwe vizuri 5. Gearbox iwe vizuri 6. Ikiwa na bampa kubwa ni vizuri zaidi japo sio muhimu sana...
  11. Wanaosema ist sio gari wanakaa kwenye mwendokasi kama njiti za kiberiti

    Wabongo wa vijiweni wanatabia ya kubeza sana usafiri wa watu wengine utasikia vitz sio gari , ist ni bajaji halafu huyo anayezungumza hivyo ukimkuta ndani ya mwendokasi utamuonea huruma
  12. Naomba mnifundishe kuendesha gari aina ya IST

    Mko poa humu? Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if...
  13. B

    Nataka kununua Gari aina ya IST

    Wadau habari zenu.. Mimi ni mdada sijawahi kumiliki gari, ndo nataka kununua gari yangu ya kwanza Nataka ninunue toyota IST old model. Naombeni ushauri wenu.. ipi ni njia bora kuagiza nje au ninunue showroom za hapa bongo. Na je, IST ya mwaka gani ndio bora zaidi. Na kampuni gani ni nzuri...
  14. M

    Nahitaji gari, IST

    Habari za usiku huu. Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
  15. Ist kali inauzwa waweza kuicheki

    IST Kali inauzwa namba E Price 14.4M Location DSM Call 0658124288 TOYOTA IST(EAT) Year 2004 Engine Code 2NZ ENGINE capacity 1290cc Milleage. 59080km From Japan Bei 14.4 Million Location DSM
  16. Kati ya Toyota Wish na Toyota IST upi unyama?

    Heshima kwenu, Naomba ushauri juu ya uchaguzi wa ununuzi wa Toyota Rush au IST, kiupekee napenda muundo wa Rush imekaa kama gari Fulani yenye hadhi ila sio mjuzi wa magari hata punje, nimeileta kwenu nisaidieni kufanya maamuzi kwa kuzingatia sifa za gari hizo.
  17. inahitajika ist hata ikiwa no c bajeti 6.5

    habari zenu wakuu nahitaji gari aina ya ist bajeti yangu 6.5 nikipata direct kutoka kwa muuzaji itapendeza zaidi maana najua mambo ya ma dalali 0745906009
  18. Inaitajika Toyota Passo, vits au IST, Arusha

    Habari, inaitajika Toyota Passo, vitz au IST Bajeti: ni 5M - 6M Eneo: Arusha
  19. Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

    Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001. Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa. Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena. WhatsApp 0712 148001.
  20. IST inauzwa location DSM

    Toyota-IST Cc 1290 Price- million 11 Location -Dar es salaam Call-0716161683/0655 644 477 Nalengesha mimi & gari haina tatizo lolote
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…