Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii?
Rais wa Zanzibari chukua hatua
Habari zenu,
Naomba msaada kwa mtu anayefahamu jinsi ya kuagiza gari nje, gari ndogo aina ya Ist, nimeulizia kwa makampuni ninayoyafahamu naona bei hazipishani na yard japo wanasema bei imepanda(17-18m)
Briefly, rafkiangu anataka kuagiza gari (mwenyewe)aina hiyo kupunguza gharama, bila...
Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam kupitia kwa Mkurugenzi wa Halmashauri wa Jiji hilo Ndugu Elihuruma Mabelya amesema, wameandaa tamasha la IST ambalo limelenga kukutanisha vijana wa vyuo mbalimbali kwa lengo la upimaji wa afya bure na kutengeneza fursa tofauti.
Soma pia: Wanaosema ist sio gari...
Bei/Price TSH 12.5M
Call +255 747 999 927
TOYOTA IST
Year: 2004
Engine: 1,490Cc
Mileage: 95,608Km
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
Android Radio
Clean Interior
In Good Condition
Swap Deals Allowed
Bei/Price TSH 11.7M
Call +255 747 999 927
TOYOTA iSt
Year: 2003
Engine: 1,290Cc
Mileage: 120,000+
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
Android Radio
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
Bei/Price TSH 16.8M
Call+255 747 999 927
TOYOTA iSt
Year: 2002
Engine: 1,490Cc
Mileage: 99,000+
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
Android Radio
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
Bei/Price TSH 17.5M
Call+255 747 999 927
TOYOTA iSt
Year: 2004
Engine: 1290Cc
Mileage: 44,000+
Transmission: AUTO
Fog Lights
Sport Rims
2-SRS Airbags
Clean Interior
In Good Condition
Exchange Possible
Nahitaji IST Old Model namba ya usajili yoyote ile but yenye vigezo vifuatavyo:
1. Body iwe nzuri
2. Mwaka wa usajili kuanzia 2017 kuendelea, ili niweze kulipia bima kubwa.
3. Iwe na AC
4. Engine iwe vizuri
5. Gearbox iwe vizuri
6. Ikiwa na bampa kubwa ni vizuri zaidi japo sio muhimu sana...
Wabongo wa vijiweni wanatabia ya kubeza sana usafiri wa watu wengine utasikia vitz sio gari , ist ni bajaji halafu huyo anayezungumza hivyo ukimkuta ndani ya mwendokasi utamuonea huruma
Mko poa humu?
Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if...
Wadau habari zenu..
Mimi ni mdada sijawahi kumiliki gari, ndo nataka kununua gari yangu ya kwanza
Nataka ninunue toyota IST old model.
Naombeni ushauri wenu.. ipi ni njia bora kuagiza nje au ninunue showroom za hapa bongo.
Na je, IST ya mwaka gani ndio bora zaidi. Na kampuni gani ni nzuri...
Habari za usiku huu.
Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
IST Kali inauzwa namba E
Price 14.4M
Location DSM
Call 0658124288
TOYOTA IST(EAT)
Year 2004
Engine Code 2NZ
ENGINE capacity 1290cc
Milleage. 59080km
From Japan
Bei 14.4 Million
Location DSM
Heshima kwenu,
Naomba ushauri juu ya uchaguzi wa ununuzi wa Toyota Rush au IST, kiupekee napenda muundo wa Rush imekaa kama gari Fulani yenye hadhi ila sio mjuzi wa magari hata punje, nimeileta kwenu nisaidieni kufanya maamuzi kwa kuzingatia sifa za gari hizo.
habari zenu wakuu
nahitaji gari aina ya ist bajeti yangu 6.5
nikipata direct kutoka kwa muuzaji itapendeza zaidi maana najua mambo ya ma dalali 0745906009
Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001.
Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa.
Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena.
WhatsApp 0712 148001.
bajaj
benz
brevis
carina
fuso
ist
kilimanjaro porters assistance project
kushuka
land cruiser
magari
mama salma
mama samia
mazda cx-5
mazda demio
mazdacx5
milioni
mitano tena
noah
passo
pickup
pilau la mama samia
prado
range rover
raum
simba fc
suzuki escudo
suzuki swift
toyota
vitz
wadau wa biashara