Israel anatetemeka huko anasema Al Houthi wana plan ya kuwavamia kwa vita vya chini.
Wanaogopa kipigo kama cha 7th October, wanasema Al Houthi ni hatari sana wanatishia uwepo wa taifa la Israel.
Sa swali vipi Israel anawaogopa wa Al Houthi na wako mbali nae, hawana mpaka nae lazima kisha ona...