ismailia

Ismailia (Arabic: الإسماعيلية al-Ismāʻīlīyah, Egyptian Arabic: [lesmæʕiˈlejjæ]) is a city in north-eastern Egypt. Situated on the west bank of the Suez Canal, it is the capital of the Ismailia Governorate. The city has a population of 1,406,699 as of 2022 (or approximately 750,000, including surrounding rural areas). It is located approximately halfway between Port Said to the north and Suez to the south. The Canal widens at that point to include Lake Timsah, one of the Bitter Lakes linked by the Canal.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Simba yaondoka Ismailia, kuweka kambi Cairo, Misri

    Kikosi cha Simba mapema leo Ijumaa (Agosti 15), kimeondoka jijini Ismailia kwenda jijini Cairo, Misri kuendelea na kambi ya maandalizi ya msimu mpya 2025/26. Kikosi cha Simba kitaweka kambi jijini humo hadi kitakapokamilisha program ya kocha Fadlu, na kisha kitarejea Tanzania mapema mwezi...
  2. Waufukweni

    Simba SC yashinda 2-0 dhidi ya Kahraba FC kwenye Mechi ya Kirafiki

    Kikosi cha Simba kilichopo Misri, katika maandalizi ya msimu mpya wa NBC Premier League na mashindano ya kimataifa, kimecheza mchezo wa kwanza wa kirafiki wa kujipima nguvu na timu ya Carabat FC, ambapo Mnyama ameshinda magoli 2-0. Bao la Mohamed Bajaber katika mechi ya kirafiki dhidi ya...
  3. Kichuguu

    TANZIA Aga Khan Afariki dunia akiwa na Miaka 88

    Kiongozi wa waislamia duniani ajulikanaye kama HH The Aga Khan amefariki dunia akiwa na Umri wa miaka 88. Kwa Tanzania, Aga Khan atakumbukwa sana kwa kujenga miundo mbinu mizuri sana ya kutoa huduma za afya na elimu. Shule za Tambaza (Dar), Mkendo (Musoma), Mzizima (Tanga) ni baadhi ya shule...
  4. GENTAMYCINE

    Pigo la Pili kwa Yanga SC Mchezaji Namba 6 waliyekuwa wakimtegemea awatosa na amesaini Club Ismailia ya Misri

    Haya Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe, Wachambuzi na Watangazaji wa Redio wenye Uyanga tafadhali Tangazeni upesi hii Taarifa. Na huyu Mchezaji wa Club ya Asec ndiyo alikuwa Mchezaji anayetegemewa na Yanga SC na ndiyo Yule Namba 6 aliyokuwa akiimbwa na akinadiwa Kimajigambo na Msemaji wa hovyo...
  5. balibabambonahi

    Kwanini Taifa stars na The Cranes watacheza mechi yao Ismailia, Misri?

    Wachambuzi ashakumu si matusi, twambieni The cranes watakuwa nyumbani dhidi ya taifa stars,kwanini mechi imepelekwa Misri? Kuna shida gani Uganda?
Back
Top Bottom