iran

  1. Kambi za Jeshi la Marekani Zashambuliwa na Iran nchini Syria

    Irani imefanya mashambulizi ya Drone na Rocket kwenye Kambi za Jeshi la Marekani Usiku wakuamkia leo. Taarifa zinasema Ile mifumo ya Ulinzi wa Anga Ulilala Fofofo. Dunia Inako Elekea Nipatamu sana The main air defense system at a coalition military base in northeast Syria was “not fully...
  2. Jeshi la Uingereza lakamata silaha na mizinga ya Iran iliyokua kwenye meli

    Iran inapumuliwa kote, kwa sasa inafuatiliwa kwa makini, meli yoyote yenye silaha za Iran ni halali ya wababe wa dunia hii.... The British navy seized anti-tank missiles and fins for ballistic missile assemblies during a raid on a small boat heading from Iran likely to Yemen, authorities said...
  3. M

    Iran imejaribiwa, wakagundua ni mdebwedo. Leo tena yashambuliwa usiku

    Mji wa Kerdzh huko Iran umeshambuliwa , kuna air defence activities zinazoendelea kulinda anga
  4. Maandamano Iran bado yako pale pale, wamdhamiria kuondokana na udhulumaji wa kidini

    Huku serikali ikiendelea kuwanyonga raia wake ili imlinde 'mungu' wa dini yao, ila wananchi wamedhamiria lazima wafike mwisho wake.....hata wauawe mamilioni....wameandamana miji kadhaa kwa mpigo. Mayatollah wanalo..... ===================== Protesters in Iran have marched through the streets of...
  5. Kha! Iran yaomba Taliban walegeze sheria za kidini za kuwanyanyasa wanawake

    Ni ajabu sikujua ipo siku hawa watu watakuja kuanza kubadilika na kuacha uzombi wa kidini.... China and Iran have urged mutual neighbor Afghanistan to end restrictions on women's work and education. The call came in a joint statement Thursday issued at the close of a visit to Beijing by...
  6. Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

    Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao. But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan...
  7. Hii ni ngome ya underground Yenye uwanja wa ndege chini ya Ardhi ya Jeshi la iran.

    Iran imeonyesha pic picha za Uwanja wa ndege wa chini ya ardhi .
  8. Shehena ya silaha za Iran zakamatwa na Jeshi la wanamaji la Ufaransa, zilikuwa zikipelekwa kwa waasi wa houth

    Jeshi la ufaransa limekamata shehena ya kutisha ya silaha zilizokuwa zikielekea kwa waasi wa huthi nchini Yemen. ============================ French forces seize shipment of weapons headed from Iran to Yemen Officials say the seizure happened in January, with the weapons set for Yemen’s Houthi...
  9. Iran kucheza dance hadharani ni jela miaka 10

    Maisha ya nchi nyingine magumu sana!!!!!Hii sijui imekaaje? ========= Iran jails couple for 10 years over viral dancing video: activists Iran has handed jail sentences for over 10 years to a couple who danced in a viral video, convicting them of 'encouraging corruption and public...
  10. Marekani yaweka wazi, iko tayari kutumia mbinu za kijeshi kuzuia Iran kumiliki nyuklia

    Kwa sasa wanatumia diplomasia, ila kenge akisisitiza na kutokuskliza, basi itabidi kichapo tu.... Taifa lenye mizuka ya kidini na kigaidi gaidi haliwezi kuruhusiwa kumiliki nyuklia.... Washington/Berlin, Jan 30, (dpa/GNA) – The US government has not ruled out military action, to stop Iran from...
  11. Gaidi la Iran laingia Iran laingia ubalozi wa Azerbaijan na kuua watu

    Mataifa mengine bana, fulu mzuka wa watu kujilipua mabomu na kumimina risasi, yaani gaidi limewehuka kuingia ubalozi na kuanza kuua watu..... DUBAI, United Arab Emirates — A gunman stormed the Azerbaijan Embassy in Iran’s capital Friday, killing its security chief and wounding two guards in an...
  12. Meli ya mizigo ya Tanzania imepinduka Kusini mwa Iran

    Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24 kutokana na mpangilio mbaya wa Makontena kwenye bodi. Ajali hiyo imetokea katika Bandari inayohusika na kemikali za petroli na gesi zinazozalishwa nchini Iran iliyopo...
  13. Uingereza yaonya mpango wa Wadukuzi wa Iran na Urusi kuwadukua Waandishi wa Habari, Wanasiasa

    Kituo cha Mtandao cha Kitaifa cha Uingereza (NCSC) kimetoa angalizo kwa watu wa tasnia hizo kufanyiwa udukuzi wa kijasusi kwa lengo la kukusanya taarifa mbalimbali Imeelezwa wadukuaji wanawalenga watu ambao wanafanya utafiti na wanafanyia kazi kwa ukaribu na Mataifa ya Iran na Russia. NCSC...
  14. Mbona Serikali ipo kimya kuhusu Meli ya mizigo ya Tanzania ambayo imezama huko Iran?

    Inasemekana sababu za kuzama ni upangaji mbovu wa makontena -- A Tanzanian cargo ship has on Tuesday January 24, sank in a jetty in the southern Iranian port of Assaluyeh, Iranian state media has reported. The official IRNA news agency said the vessel named Anil overturned because...
  15. Hawa Iran hawatanii na hawana masihara

    Iran yamnyonga raia mwenye uraia wa Uingereza na Iran Raia wa Uingereza na Iran Alireza Akbari, ambaye alihukumiwa hukumu ya kifo nchini Iran, amenyongwa. Familia ya Bw Akbari ilikuwa imeombwa kwenda katika gereza lake kumuona kwa “mara ya mwisho" siku ya Jumatano na mkewe alisema alikuwa...
  16. Iran: Waandamanaji wawili wanyongwa wakituhumiwa kumuua afisa usalama

    Mohammad Mahdi Karami na Seyed Mohammad Hosseini walihukumiwa kunyongwa wakakata rufaa wakidai wakiteswa na kulazimishwa kukiri makosa. Baada ya tukio hilo, hukumu za walionyongwa kutokana na kushiriki maandamano sasa imefika watu wanne. Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty...
  17. Iran: Nyota wa filamu aliyeshikiliwa kwa kuunga mkono maandamano, achiwa huru

    Taraneh Alidoosti (38) alishikiliwa mwezi mmoja uliopita kutokana na kuungana na wanaopinga uwepo wa Sheria ya kuwataka Wanawake kutembea wakiwa na mavazi yaliyofunika vichwa vyao. Ameachiwa kwa dhamana kosa lake likiwa ni kuchapisha maudhui ya kuhamaisha uchochezi ambapo waigizaji wenzake...
  18. Iran: Waandamanaji 100 wadaiwa kukabiliwa na hukumu ya kifo

    Taarifa ya Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Norway (IHR) lenye makazi yake Nchini #Iran ni kuwa idadi hiyo ya watu wanakabiliwa na hukumu hiyo [amoja na kesi za mauaji. Wanawake watano ni kati ya waliopo kwenye hukumu hiyo na inadaiwa idadi ya watuhumiwa inaweza kuwa kubwa zaidi kwa kuwa...
  19. Iran: Maandamano ya Wanawake yafikisha siku 100

    Kwa idadi hiyo, yanakuwa ni maandamano marefu zaidi dhidi ya Serikali Nchini Iran tangu Mwaka 1979. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Wanaharakati wa Haki za Binadamu (HRANA) inadaiwa zaidi ya wandamanaji 500 wakiwemo Watoto 69 wameuawa. Maandamano hayo yanayohusisha zaidi Wanawake wakiwa na...
  20. Hadi sasa wananchi 500 wameuawa Iran, ila maandamano yako pale pale

    Serikali inaendelea kuua wananchi kwa kile inadai kumpigania Mungu, ila maandamano yapo tu. Yote hii ilianza baada ya mwanamke kuuawa kisa nywele zilichomoza kichwani dhidi ya sheria za kiislamu... More than 500 protesters, including 69 children, have been killed, according to the Human Rights...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…