Hezbollah wa Lebanon wamenyamazishwa kimya.
Hamas kao lao limeangamizwa.
Syria imepinduliwa.
Houthis, US anawaangushia makombora mazito kila siku, muda sio mrefu wanajeshi 80,000 wa Yemen wanaopikwa huko Saudia watapelekwa kuitwaa Hodaida, ngome kuu ya Wahouthis na kuleta mwisho wao.
Qatar...