internship

  1. A

    KERO Matokeo ya Post Internship Exam, Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) mbona kimya?

    Tunalazimika kutoa malalamiko yetu kwa uwazi na kwa msisitizo mkubwa kwa Baraza la Madaktari Tanganyika kuhusiana na ucheleweshwaji usio na maelezo wa matokeo ya Post Internship Examination. Tulifanya mtihani huu tarehe 17 Disemba, 2025 lakini hadi leo matokeo bado hayajatolewa, hii ni hali...
  2. A

    Internship Opportunity for audit firm

    HALA Consultants is offering Internship Opportunities for ambitious graduates and final year students who want real exposure in: ·Audit & Assurance · Tax Compliance & Advisory · Business Advisory Services Education: Bachelor’s degree in Accounting or Finance (complemented by CPA)...
  3. Diccas

    Naomba Nafasi ya internship.

    Habari viongozi, nimesoma Accounting with IT nimemaliza mwaka jana, nlikua natafuta sehemu nayoweza kufanya internship kusharpen skills. Kama kuna nafasi sehemu tupeane Deals
  4. Manezra

    Internship Opportunities for Computer Programmers

    CLICK THIS LINK TO APPLY
  5. A

    KERO Hela ya internship tunayopewa sio sahihi

    Sisi wanafunzi tulisoma Bsc in Clinical nutrition & Diabetics tunaomba serikali pamoja na baraza la Madaktri (MCT) wakae na kupitia muundo wetu wa Mishahara haiwezekani nisome miaka 4 alafu internship nilipwe 600,000/= kiwango hiki cha malipo kinatokana na nini? Ikiwa wenzetu wanao soma Bsc in...
  6. A

    Naomba kujua Private Sector (NGO'S) or Public Sector zinazolipa mishahara mikubwa kwa Internship students

    Habari za Jioni, Ndugu zangu. Naomba majibu mazuri ndugu zangu. Nimemaliza Bachelor of Business Administration in Accounting. Naomba kujua Private Sector (NGO'S) or Public Sector zinazolipa mishahara mikubwa kwa Internship students. Nitashukuru kwa majibu yenu Mazuri.
  7. S

    Kuomba nafasi ya internship (field) shipping and ports operation management

    Habari za wakati huu , Naitwa Aisha Jumaa Saidi, ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nikisoma Shipping and Ports Operations Management katika chuo cha (Bandari College). Natafuta nafasi ya field attachment/internship kuanzia (August hii 2025) katika kampuni, taasisi au bandari yoyote...
  8. princeNathan

    Kuhusu volunteer au Internship ya computer science

    Ndugu narejea tena naombeni nafasi ya kufanya internship au volunteer niweze kupata ujuzi zaidi mimi ni graduate nina masters of science in computer science umri miaka 28 ninauhitaji wa kufanya intern mkoa wowote. Mimi ni mtaalamu wa data science , Machine learning, AI, mobile app, data...
  9. B

    Internship Opportunity Request – Taxation Graduate Seeking Placement

    Greetings Members, I hope you are all doing well. My name is Maduhu Joseph Manyanya, a recent graduate with a Bachelor of Science in Taxation from the Institute of Finance Management (IFM). I am currently seeking an internship opportunity in areas such as taxation, accounting, finance, or any...
  10. Ramjane OG

    Natafuta Kampuni (Contractor au Consultant Firm) ya Kufanyia Internship ya Quantity Surveyor

    Mimi ni Graduate in Quantity Surveying and Construction Economics at Ardhi University natafuta kampuni (contractor au consultant) ya kufanyia internship/ hata ajira itakua vizuri popote Tanzania. Msaada Plz wakuu🙏🙏
  11. bay_zooh

    I’m looking for an internship or a job opportunity

    Habari za wakati huu wana JF. Nipo hapa kuwaomba mnisaidie natafuta nafasi ya Intern au kazi niko na Shahada ya mambo ya(Uchumi na Takwimu) from UDSM. Nina ujuzi wa masuala ya Usimamizi wa bidhaa ama vifaa (Material controller) pamoja na kuwa data analyst. Also, I’m capable of working as...
  12. J

    Naomba connection ya kazi au internship Arusha

    Habari zenu, Naombeni fursa ya kazi mimi ni mhitimu wa chuo mwaka 2023 nina degree ya Umeme, kwa mwenye connection naomba anisaidie niendelee ujuzi wangu nimezunguka sehemu mbalimbali lakini mpaka sas sijafanikiwa kupata kazi hivyo naombeni msaada wenu
  13. sangaima

    NATAFUTA MAHALI PAKUFANYA INTERNSHIP/ FIELD

    Kwa jina naitwa Ahmad ni kijana, mkazi wa mkoa wa Dar es salaam, nina Diploma in Public sector accounting & Finance natafuta mahali pakufanya internship katika kada ya accounting. Iwe sector binafsi ama serikali nitashukuru, kwa yeyote atakae guswa kunisaidia atanipata katika mawasiliano haya...
  14. Orketeemi

    Naomba msaada wa nafasi ya kazi au internship kwa kada ya Clinical Dentist

    Wakuu habari. Nina kijana anatarajia kuhitim mafunzo yake katika kozi ya Diploma in Clinical Dentistry mwezi wa nane mwaka huu. Naomba msaada wa mwongozo au nafasi ya kazi, internship kwa niaba yake kwa kipind hicho. Msaada wako ni muhim sana.
  15. T

    Internship Opportunity for Graduates in Business/Finance

    Position: Credit Officer Intern Are you passionate about finance and ready to kickstart your career? Tatamwise Microfinance is offering internship opportunities at our Pugu branch for energetic, self-driven graduates or final-year students! 📌 What we’re looking for: ✅ Background in Finance...
  16. Jamii Opportunities

    Internship Vacancies – (15 Posts) at UDSM March 2025

    Call for 3-Month Internship Vacancies: Agricultural Supply Chain, Food Supply Chain, and Transportation and Logistics and Related Fields (15 Posts) Background University of Dar es Salaam (UDSM) and the Kuhne Foundation (KF-TZ) have partnered to implement initiatives for a four (4) year SAFA...
  17. H

    Natafuta nafasi za internship

    Wakuu nimesomea political science and public administration specialized in international relations and diplomacy. Natafuta nafasi za internship; nafikilia JNICC. Je utaratibu wa kuomba internship jnicc upoje ?
  18. Y

    Natafuta nafasi ya Internship with (BA. In Economics) kutoka UDSM

    Habari zenu wana JF. Mimi ni binti wa kitanzania mwenye umri wa miaka Ishirini na tatu. Ni fresh graduate mwenye shahada ya Uchumi yaani (BA in Economics) kutoka University of Dar es salaam. Niko hapa kuwaomba mnisaidie nafasi ya Internship kwa wenye kampuni, connection au mnaofahamu mahali...
  19. zoyler22

    Internship TANAPA na TRA

    Nilikua nauliza km nikifanya internship kati ya hizi taasisi 2 kutakua na uwezekano wa kupata ajira zikitoka af pia hua wanalipa intern???!
  20. kikoozi

    Naomba kujua utaratibu wa kupata nafasi ya Internship kwa mwanafunzi anayemaliza mwaka wa 5 udaktari

    Habarini ndugu zangu. poleni na majukumu.. nina mdogo wangu mwaka huu anamaliza chuo course ya udaktari mwaka wa 5, baada ya hapo anatarajia kupangiwa hospitali kwaajili ya kufanya internship, kuna uwezekano akapangiwa hospitali zanje ya mkoa wa DAR ES SALAAM maana kwa sasa anasoma chuo nje ya...
Back
Top Bottom