infinix

  1. emboaba

    mwenye kuzfaham vzur hz infinix

    habar mateknishan..baada ya kulazmishwa sana juz nmeanza kutumia hz cm infinix somehow zko vzur bt tatzo lake lko kwenye alarm..ndio alarm mara mbil nzma imenidanganya..nmeiset iniamshe mda flan simu nkaizma bt ikaptlza baada ya kuamka nmekuta neno "alarm missed" 2x imefanya ivo...msaada kwa...
  2. bioto

    Naombeni msaada jinsi ya ku-flash Infinix Note 3

    Wakuu heshima kwenu, Kama kichwa cha habari kilivyo naombeni msaada tafadhali nimetumia zile njia za kikamanda kubonyeza power button na volume button Kwa wakati mmoja imefikia sehemu sasa inataka niunganishe Wi-Fi nimekwama hapo. Msaada tafadhali
Back
Top Bottom