Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
•Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Rejea hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/karibu-umalizie-nyumba-kwa-mkataba-kisha-uhamie-nahama-kikazi.2306587/
Nimeamua kuiuza.
Mwenye Mil 20 chap aje nimpatie.
Ni yangu mwenyewe.
Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama),
Ina public...
Rejea hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/karibu-umalizie-nyumba-kwa-mkataba-kisha-uhamie-nahama-kikazi.2306587/
Nimeamua kuiuza.
Mwenye Mil 20 chap aje nimpatie.
Ni yangu mwenyewe.
Cc: Half american na wengineo mliokuwa mnauliza.
Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha...
Wadau nauza hii simu yangu
Maelezo yake na picha hapo chini
Samsung A34
Storage 128gb
Inakaa na chaji zaidi ya masaa 24 ukiwasha data na mpaka siku 3 bila data
Napatikana Dar es salaam
Namba 0765137266
Bei Tsh 430,000
Modern House for Sale – Goba Half London
An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home:
5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite
2 Elegant Living Rooms
Dedicated Study Room
Spacious Dining Area
Fully Equipped Modern Kitchen
Servant's...
Modern House for Sale – Goba Half London
An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home:
5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite
2 Elegant Living Rooms
Dedicated Study Room
Spacious Dining Area
Fully Equipped Modern Kitchen
Servant's...
Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali.
Bei: Tsh.110, mazungumzo...
Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali.
Bei: Tsh.110, mazungumzo...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
Habari wadau ,nyumba inauzwa iko na fensi 170milion
Iko mtaa wa kibela,ununio
Wilaya ya kinondoni
Dar es salaam
Contact 0653 652755
Ninavideo nashindwa ku upload n ndefu anayetaka anichek mtaa mzuri barabara imenyoka iko na fensi na geti
GHOROFA LINA UZWA
LOCATION:KALIAKOO
MTAA WA KIUNGANI STREET
Kuna vyumba 10 floor no 1
Floor no 2 Ina vyumba 10
Ground floor Ina flem 10
Mbele zipo flem 3 nyuma zipo flem 7
Na kuna Godown 1
Eneo lite lina SQm 290
BEI NI Bilion 2.5 tish maongezi kidogo sana
Mtaa mzur sana kwa biashara yeyote ile...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya finishing.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina...
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
•Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti...
🏠NYUMBA INAUZWA MILIONI 33
📍ipo MBONDOLE DAR-ES-SALAAM🇹🇿
Ni njia ya Chanika ukitokea MBAGALA rangi 3 kujia CHAMAZI AZAM COMPLEX
Pia unaweta kutokea Njia PANDA YA KIVULE AU KUPITIA MOMBASA YA GONGOLAMBOTO NJIA PANDA YA KIVULE ZOTE NI NJIA KUJIA MBONDOLE ✅
✍🏻Ina Vyumba vitatu
✍🏻SEBULE
✍🏻JIKO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.