Duka la vifaa vyote vya bafuni na masink ya jikon na dining bila kusahau mabomba ya maji.
Duka linapatikana Kariakoo/Gerezani mtaa wa mbaruku/Nyamwezi str,dar es salaam, Tanzania.
Mawasiliano:+255677713490 (whatsapp)
WAHI UPATE MZIGO MZURI KWA BEI NZURI[emoji1478]
Nauza TV HIsense Inch 32 LED kwa bei ya Tshs 260,000
TV imetumika miezi 4 na ina boksi lake, haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote.
Ukinunua TV hii ni sawa tu na unenunua dukani mana bado mpya.
Napatikana Mbezi Stand ya Magufuli na namba yangu ya simu ni 0719742225.
Nicheki tufanye...
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 70,000 tu
*Screen (5.7 Inches)
*Battery (3020 mAh)
*RAM (1.00 GB)
*Storage (16.00 GB)
*3G/2G auto
Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na charge na haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote, nauza bidhaa ambayo ipo kwenye ubora na haina...
Nauza simu yangu aina ya samsung jean 2, gb 32 ina hali nzuri sana, bei laki moja na nusu (150000). Nipo iringa mjini kwa ambae yupo mkoani naweza kumtumia au anaweza kuagiza mtu ambae yupo Iringa aje kuikagua halafu namkabidhi simu.
Habari
Nauza Tablet nzuri aina ya Samsung kwa beinya kutupa, bei ni Tshs 480,000 ila maongezi kdg yapo
Tablet hii imetumika miezi mitatu tu hivyo bado ni mpya kabisa na aina mchubuko wa aina yeyote, ukiiona ndio utaamini.
Model Name: Galaxy Tab A8
Battery Capacity : 7040 mAh (Typical)
OS...
Nyumba ipo Tanga Mjini Mitaa ya kisosora
*Room 4 (Kimoja master)
*Sebule
*Jiko
*Public Toilet
*Umeme✅
*Maji✅
Bei 65 milioni mazungumzo yapo...Kwa mteja Serious piga simu 0683703076 au whatsapp 0763316426
Nauza Heka 1 Kibaha kongowe Mil.70 barabara ya zamani pana faa kwa Godown au Kiwanda, mita 100 hadi Morogoro road.
WhatsApp kama ukiitaji picha 0674223223
Hasa kwa watu wa Kanda ya Ziwa na mikoa Jirani.
Kwa mahitaji ya kuagiza magari kutoka Japan,Dubai,na UK, tuone "Rubo Motors Tanzania" magari tuagizayo ni Fuso, Canter,Hino,Isuzu,Rosa bus,Coaster,Nissan,na magari madogo ya kutembelea.
Malipo ni awamu mbili. ambayo ni malipo ya awali na malipo...
TV ya mtumba inchi 24 inauzwa.
*Button zake za kuwashia/kuongeza/kupunguza sauti ni za kugusa.
*HAINA REMOTE
*HAITUMII FLASH
*Bei: 150,000/- (maongezi yapo)
*Location: Kiwalani, Dar es salaam.
*WhatsApp/simu: 0656 203 045
*ENEO LINAUZWA*
Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha Twyford* kinachojengwa hapo Pingo.Kama ambavyo baadhi watakuwa wanajua, kiwanda cha vigae kitaajiri...
Gari aina ya DAF XF EURO5 engine ya paccar inauzwa ipo separate kibini pamoja na chesesi, Engine inahitaji matengenezo.
TAJIRI anahitaji milioni kumi na tano(15) kwa mawasiliano piga namba +255 763 363 536, +255 683 067 976 Gari inapatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA
Kibini ipo sawa kabisa ni...
Nimepata dharura kwahiyo nimeamua kuuza ofisi yangu ya PlayStation (Gamecentre).
Ina vitu vifuatavyo: (kila kitu kimetumika kwa mwezi mmoja)
Bei hazina maongezi (prices are fixed)
1-Sony PlayStation 2 inatoka kwa TSh 100,000 pamoja na memory card, flash, padi mbili na nyaya zote.
2-Sony...