MODEL: Boxer
MODEL NUMBER: BM 125
LOCATION: Tegeta, DSM
Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa
Ina registration card
BEI: 1,100,000/= maongezi yapo
NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
Nyumba inauzwa
Frem 4
Nyumba 3, Ndani
Bei: 750milioni
Document: Mirathi
Sqm: 818
Mtaa: Kibangu
Kata: Makuburi
Manispaa: Ubungo kwa sasa!
Eneo linafaa kwa matumizi yote.
Main road: mita 8
Piga simu 0712347749
Tufanye biashara....
Mashine ya Kufua na Kukausha nguo 10kg inauzwa bei chee. Acha kufua kwa kutumia mikono. Kazi hiyo ziachie mashine zifanye.
Bei 450K
Wasiliana na muuzaji: 0757669270
Uzi huu hauhusiani na uzi mwingine, ni alert mahsusi kwa Rais Samia.
Mh Rais inamaana wewe na wabunge hamfahamu kuwa vifaa vingi vya ulinzi na usalama huingia nchini kupitia bandari?
Vipi endapo kampuni itakayopewa kuendesha bandari ikiajiri bila kujua majasusi wa nchi jirani kuwa watumishi...
Tumesikia ishu ya bandari kuuziwa mwarabu, mradi wa LNG nao mkataba wake haueleweki wa namna Tanzania itakavyonufaika, barabara ya kibaha moro dodoma kuendeshwa na mwekezaji na kulipiwa tozo kila ukipita, madudu yote yanaendelea lakini Zitto, MBowe na Lissu wako kimya kupaza sauti kuhusu ishu...
Miti ipo Suma Katumba Rungwe Mbeya. Leta hela jichukulie miti, ni minene inafaa kwa ujenzi wa aina yoyote. Ipo barabarani kabisa ukifika Suma Secondary ni hapohapo barabarani shamba lilipo. Kama unavyoiona pichani.
Serious buyer piga simu: 0658615426.
Nissan march
Top speed 200
Cc 1400
Bei 5.5 million
BIMA IPO
HAIDAIWIII
Sound option on steering
Full ac na full file
Gari haina changamoto yoyote ile ya ufundi
Ipo dar es salaam , sinza
0784020604
Altezza Lexus
Engine beams 2000
Bei million 4.6
Full ac na document
Gari haina kipengele chochote kile, ipo Dar es salaam.
Nicheki: 0784020604
Maongezi kwenye gari tafadhali.
Habari, kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
•Nyumba ipo Muriet Mashariki, mita 200 kutoka barabara ya East Africa
• Nyumba ina vyumba kumi, (single room) na ukubwa wa eneo ya nyumba ni mita 20×15.
•Nyumba ina umeme na maji yapo karibu ni ya kufuatilia.
Bei ni Tsh 35,000,000.
Kwa...
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na umeme vipo nje ya nyumba, Huhitaji nguzo, kunafikika vizuri kabisa. Neighbourhood ni nzuri, usafiri...
Ipo kibaha visiga,nyumba ya kisasa,
Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko,
Uwanja mkubwa squire meter 800
Ina fensi ya kisasa.
Umeme na maji vipo,
Umbali km moja kutoka morogoro road,
Bei milioni 35.negotiable
Jipatie simu Samsung note 9 kwa bei ya kutupa laki 350,000
Storage GB 128
Ram gb 6
Haina cracks.
Used but in good conditions
Free charger
Free cover
Free protector
Chanika Magenge, mtaa Toroka Uje.
Bei 16milioni. Serious buy nipigie tufanye biashara 0712347749, 0746474849.
Nyumba ina vyumba 3.
Master 1, viwili vya kawaida
Choo cha public kipo ndani kingine nje.
Sittingroom, deningroom
Flem za biashara 2.
Kozi 2 ya uzio
Eneo la kujenga mabanda ya uani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.