Idara ya usalalama wa taifa makini ni ile ambayo inamuambia rais aliyepo madarakani ukweli.
Kama raia wanamchukia kwa ufisadi na mambo yasiyofaa anaambiwa ukweli.
Sio kumdanganya kuzunguka na mabasi ya Yutong zaidi ya 80 alafu wananchi wanamchukia huku anafanya kampeni.
Hata Mwalimu Nyerere...
Mzee huyu ni marehemu. Alifanya kazi na mwalimu Nyerere.
Alisema kila suala linalohusu kiongozi ni special branch. Ilikuwa ikimpatia rais taarifa za mtu yoyote anayefaa kuwa kiongozi.
Leo hii hakuna special branch. Kuna Tiss. Sidhani kama wanafanya kama enzi za Nyerere.
Wangekuwa wanafanya...
Huko x na instagram kuna watu wanashangikia kifo cha mkurugenzi wa kitengo. Nadhani serikali inapaswa kukanusha ili kuondoa taharuki. Pia wanao shangilia wajitahidi kuzuia furaha yao maana huo si utamaduni wetu.
By Ponjoro wa Kinondoni
Kwasasa safarini kizimkazi.
Rest in peace Dr Hassy Kitine—the former Director General of Tanzania Intelligence and Security Service (1978-1980).
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Mbunge wa Makete na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais anayesimamia Usalama wa Taifa, Dr. Hassy (Hassan) Kitine amefariki dunia...
Na chuki kubwa inasemekana ni kwa miaka takribani Mitatu Minne hivi 75% ya Watendaji wa Idara hiyo kutokea Mji wa Ponce anakotoka Rais na siyo Mji Mkuu wa San Juan.
Na taarifa ambazo Mtanzania Mimi GENTAMYCINE niliye na Marafiki huko Kisiwani Puerto Rico nilizonazo ni kwamba CHUKI hii kubwa na...
https://youtu.be/63sXH3357rs?si=3ImWk0_uC_FVkAcf
Tunafukua makaburi:
Hapo ni Bashe alipokuwa bado mbunge tu, back bencher hajalambishwa asali ya uwaziri. Baada ya hapo, aliteuliwa kuwa Waziri na kisha naye akajiunga na watekaji🤔🤔🤔 halafu kimyaaaa mpaka Leo...
Alilia na kuwa na hofu baada ya...
"Matukio haya kwa Pattern yake pamoja na kuwa mzigo wote unaliendea jeshi la polisi kwa sababu jeshi la polisi na vyombo vyake ndilo ambalo lilikuwa mstari wa mbele siku ya jana kwenye kamatakamata kwenye vipigo, kwenye matukio yote. Lakini ukiyatazama kiundani matukio ya jana kivyovyote vile...
Wadau hamjamboni nyote?
Katika Mabadiliko ya Ghafla, Netanyahu Afuta Uteuzi wa Mkuu wa Shin Bet Kufuatia Upinzani wa Washirika
Masaa 24 tu baada ya kutangaza uteuzi huo, Waziri Mkuu amebadili uamuzi wake na kusema atafanya mahojiano na wagombea wengine.
Kiongozi wa upinzani, Benny Gantz...
Inasikitisha kuona kwamba taifa linafanya mchezo wa maigizo yanayoligharimu taifa mabilioni ya dola na kumbe hawako serious.
Tumejenga reli ya Umeme kwa gharama kubwa sana, halafu kutoka huko Kadogosa mkurugenzi wa shirika la reli anakuja na ajenda ya kununua vichwa vya dizeli.
Tunafahamu...
Nchi yetu kadiri siku zinavyoenda mbele, imeshuhudia zikitungwa sheria nyingi za kuirudisha nchi nyuma, yaani sheria nyingi zimekuwa za kuwatesa na kuwaonea wananchi. Ni sheria za kuhalalisha uovu dhidi ya wananchi:
1.
Tulikuwa na sheria ya vyama vya siasa, lakini baadaye ikabadilishwa hiyo...
wadau hamjamboni nyote?
Kazi kusafisha magaidi inaendelea
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
IDF says senior Hezbollah official Nabil Qaouk killed in Beirut airstrike last night
By Emanuel Fabian Follow
Today, 11:43 am
The IDF announces that senior Hezbollah...
President Samia Suluhu Hassan appointed Suleiman Mombo as the new Director General (DG) of the Tanzania Intelligence and Security Service (TISS). According to a statement from the Presidency, Mombo was sworn in on July 11, 2024, at the State House in Dar es Salaam.
In recent years, frequent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.