houthi

The Houthi movement (; Arabic: ٱلْحُوثِيُّون, romanized: al-Ḥūthīyūn [al.ħuː.θiː.juːn]), officially called Ansar Allah (Arabic: أَنْصَار ٱللَّٰه, romanized: ʾAnṣār Allāh, lit. 'Supporters of God') and colloquially simply Houthis, is an Islamist political and armed organization that emerged from the Yemeni governorate of Saada in the 1990s. The Houthi movement is a predominately Zaidi Shia force, whose leadership is drawn largely from the Houthi tribe.Under the leadership of Hussein Badreddin al-Houthi, the group emerged as an opposition to former Yemeni president Ali Abdullah Saleh. They accused him of corruption and criticized him for being backed by Saudi Arabia and the United States. Hussein accused Saleh of seeking to please the U.S. at the expense of the Yemeni people and Yemen's sovereignty. In 2003, the Houthis' slogan, "God is great, death to the US, death to Israel, curse the Jews, and victory for Islam", became the group's trademark. Resisting Saleh's order for his arrest, Hussein was killed in Sa'dah in 2004 along with a number of his guards by the Yemeni army, sparking the Houthi insurgency in Yemen. Since then, except for a short intervening period, the movement has been led by his brother Abdul-Malik al-Houthi.The Houthi movement attracts followers in Yemen by portraying themselves as fighting for economic development, the end of political marginalization of Zaidi Shia Muslims, and promoting regional political-religious issues in its media, fostering the rhetoric of an overarching U.S.–Israeli conspiracy theory and Arab "collusion". The Houthis have a complex relationship with Yemen's Sunni Muslims; the movement has discriminated against Sunnis, but also recruited and allied with them. The Houthis took part in the 2011 Yemeni Revolution by participating in street protests and by coordinating with other opposition groups. They joined the National Dialogue Conference in Yemen as part of the Gulf Cooperation Council (GCC) initiative to broker peace following the unrest. However, the Houthis would later reject the November 2011 GCC deal's provisions stipulating formation of six federal regions in Yemen, claiming that the deal did not fundamentally reform governance and that the proposed federalization "divided Yemen into poor and wealthy regions". Houthis also feared the deal was a blatant attempt to weaken them by dividing areas under their control between separate regions. In late 2014, Houthis repaired their relationship with the former president Ali Abdullah Saleh, and with his help, they took control of the capital and much of the north, and announced the fall of the government of Abdrabbuh Mansur Hadi.Since 2015, the Houthis have been fighting the Saudi Arabian–led intervention in Yemen that seeks to establish full territorial control by the internationally recognized government within Yemen. Additionally, the Islamic State militant group has attacked all of the major parties to the conflict, including the Houthis, forces loyal to former president Saleh, the Yemeni government, and the Saudi Arabian–led coalition forces. The Houthis aim to govern all of Yemen, and external anti-imperialist movements against the United States, Israel, and Saudi Arabia. They have launched repeated missile and drone attacks against Saudi cities. The conflict is widely seen as a proxy war between Saudi Arabia and Iran. In 2023, the movement also launched missiles at Israeli cities.

View More On Wikipedia.org
  1. gallow bird

    Houthi wadai uss truman haifanyi kazi baada ya shambulio la mwanzo

    Mkuu wa houthi,jana,alitoa taarifa ya uss truman kutofanya kazi na kupoteza uongozi wake baada ya shambulio lao la awali dhidi ya meli vita hiyo,jambo lililopelekea marekani kutuma meli nyingine
  2. ELI COHEN

    Houthi wana pesa ya kurusha makombora ila hawana ya pesa ya kuponesha vidonda kutokana maasi waliofanya Yemen.

    Wazee wa vita takatifu dhidi ya marekani na israel na blah blah nyingi ili waonekane civilized ila kiuhalisia wao ni matapeli, makatili na wauaji. Unaendaje kusaidia mtoto wa malaya unaetembea nae wakati wa kwako wa kuzaa anaumwa na hajapata pesa ya kutibiwa. AKILI UOZO.
  3. MK254

    Kiama kwa Houthi, Yemen inaandaa wanajeshi 80,000 kuingia hayo maeneo ya Houthi

    Hawa magaidi wa waislamu siku zao zinakaribia mwisho, huku Marekani wakipiga kwa angani, Yemen nayo inaandaa wanajeshi 80,000 kuingia kwenye mpambano wa nyumba kwa nyumba. Japo Yemen wenyewe pia ni waislamu ila kidogo ni nafuu maana ni serikali halali hivyo yenyewe itapunguza maugaidi...
  4. Echolima1

    Houthi waongopa kuhusu shambulizi la uwanja wa ndege wa Ben Gurion na mbeba ndege-vita USS Harry Truman.

    Waasi wa Houthi wanadai kwa uwongo kuwa waliweza kuushambulia uwanja wa ndege wa Israel Ben Gurion, mbeba ndege-vita USS Harry Truman ya Marekani madai hayo ya uongo yalitolewa kama ifuatavyo; Msemaji wa jeshi la Houthi Yahya Saree alijigamba kwamba usafiri wa anga katika uwanja huo wa ndege...
  5. I

    Hawataweza Kuzamisha Meli Zetu Tena!' Trump awaambia Wahouthi

    'Hawataweza Kuzamisha Meli Zetu Tena!' Trump awaambia magaidi wa Houthi. Rais wa Marekani Donald Trump, katika chapisho kwenye akaunti yake rasmi ya Ukweli wa Kijamii, alishiriki video ya shambulio la anga la Marekani na kudai lililenga wanamgambo wanaojiandaa kwa shambulio. "Hawa Houthi...
  6. A

    US wamenza kulia Yemen wanataka nchi ziungane kuwapiga Yemen (Al Houthi ) si alijidai mwamba huyu Trump

    Tuliwambia Yemen huwa hashindwi vita, US ameanza omba nchi zingine wawasaide kupambana na Yemen ( Al Houthi ) https://youtu.be/zggM6Zu3ZYs?si=-bVmlSCOBTuYN7nq
  7. gallow bird

    Houthi warusha kombora la balistiki huko Israel wakati waisrael wenye ndugu mateka wakielekea gaza Ili wachukuliwe mateka au wauawe na jeshi lao

    Usiku wa kuamkia leo ving'ora vilisikika ndani ya Israel kuashiria ujio wa kombora hasimu, wateule hao wa mchongo walioonekana kuhaha kutafuta pahala salama pa kujificha. Hata hivyo IDF ilidai kulitungua kombora hilo wakati houthi walidai lilipiga shabaha yake huko jangwa la Negev Wakati huohuo...
  8. Echolima1

    Waasi wa Houthi waandamana Yemen kupinga shambulizi la Marekani la hivi karibuni

    Maandamano makubwa yalizuka katika miji kadhaa ya Yemen, ikiwemo Sana’a, Saada, Dhamar, Hodeida na Amran, baada ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya waasi wa Houthi. Waandamanaji, wengi wakibeba bunduki, visu na Quran, walipaza sauti wakisema, “Kifo kwa Amerika, kifo kwa Israel!” Katika mji...
  9. MK254

    Mkuu wa usalama wa Houthi auawa kwenye mashambulizi yanayofanywa na Marekani

    Mkuuu wa usalama wa magaidi ya Houthi wenye mlengo wa uislamu ameuawa, huko alipo anafaidi yale mavitu huaminishana.... The chief of the Houthi leader's security detail was reportedly killed during a US strike on Houthi targets in Yemen, according to Israeli media, citing a Saudi report on...
  10. Bams

    Marekani kuendelea kushambulia Houthis wa Yemen, Houthi wakiri kuuawa kwa Watu wao 53. Marekani yadungua Drones 11 za Houthi

    Baada ya shambulio la tarehe 15 March 2025 la ndege za Marekani dhidi ya wapiganaji wa Houthi huko Yemen, na kusababisha vifo vya watu 53, na mamia kujeruhiwa, tarehe 11 March, wapiganaji wa Houthi walirusha drones 11 na kombora 1. Drones 11 zote zilidunguliwa kabla ya kuzifikia meli za...
  11. Echolima1

    Magaidi wa Houthi huko Yemen usiku kuamkia leo wamechezea kichapo cha mbwa-koko baada ya ndege-vita za Marekani kuwashambulia usiku kucha

    Baada ya Magaidi wa Houth huko Yemen kutishia kuanza kuzishambulia Meli za ki raia zinazopita kwenye bahati nyukundu mara tu Israel ilipozuia misafara ya magari ya misaada kuelekea Gaza usiku wa kuamkia leo Magaidi hao wamechezea kichapo cha mbwa-Koko baada ya ndege-vita za Marekani kuwapa...
  12. S

    Houthi:" tupo tayari kuishambulia Israel endapo makubaliano yatasitishwa

    Mikono yetu ipo kwenye trigger na tupo tayari kwa mapambano kama Israel atasitisha makubaliano na kuamua kushambulia gaza-HOUTHI HOUTHI wametoa msimamo huo mara baada ya Hamas kudai hawatoachia mateka siku ya jumamosi wakidai Israel wamekiuka na kuvunja makubaliano. Hali kadhalika Waziri...
  13. ILAN RAMON

    Israel yaichakaza miundombinu ya magaidi wa Houthi na kumjeruhi mkuu wa WHO

    Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom akiwa na wafanyakazi wengine wamenusurika kuuawa katika shambulio la anga, linalodaiwa kufanywa na ndege za kivita za Israel kwenye uwanja wa ndege wa Yemen, ambalo limesababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa. Mhariri |...
  14. Bams

    Waziri Mkuu wa Israel Aapa Kutumia Nguvu Kubwa Kuwapiga Houthi; Mkuu wa Mossad Ataka Israel Ianze Kuipiga Iran.

    Baada ya shambulio la kombora la Houthi tokea Yemen kutua eneo la wazi, na kujeruhi kiasi watu 16, huku mitambo ya ulinzi wa anga ya Israel ikishindwa kulizuia, jana Jumapili 22 Oktoba 2024, Baraza la vita la Israel lilifanya kikao na kuufikia uamuzi kuwa Houthi wa Yemen wapigwe kwa nguvu kubwa...
  15. A

    Al Houthi wa Yemen Wametungua ndege mbili za US

    American hata kubali utasikia ana dai sababu ni friendly 🔥 ni uwongo mtupu zimetunguliwa na Yemen Wengine wanasema ndege.moja.
  16. S

    Wapiganaji wa Houthi waenda Urusi kuisambaratisha Ukraine

    Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen", Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi vya Ukraine. Aidha Afisa wa marekani nchini Yemen bwana Tim lenderking amesema Mazungumzo ya kina...
  17. jmushi1

    Marekani yatilia shaka mahusiano ya Urusi na Houthi

    Urusi inaweza kutoa msaada kwa Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran huku wakihatarisha njia kuu za meli. Afisa mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema Moscow inashirikiana na waasi katika "kiwango kikubwa." Afisa huyo aliiambia BI kwamba usaidizi wa Urusi ungekuwa "wasiwasi mkubwa...
  18. A

    Al Houthi Wamepiga 2 US Carriers

    https://youtu.be/3LEOiCREXQs?si=fF40X0s_eaQoZe1- Habari ya mjini ndio hio, US na UK wanapiga we Yemen afu Al Houthi anawapelekeaa moto si wa kawaida. Msemaji wa Al Houthi wa Yemen anasema wamepiga leo carries mbili za US zilikuwa zinajiandaa kushambulia Yemen, ikabidi waharibu plan za US na...
  19. MK254

    Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

    Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu. Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia..... ================================= Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in...
  20. ELI COHEN

    Wanaharakati wa Palestina mbona hamkupiga kelele watoto wa Yemen kufa na utapiamlo kutokana na vita ya Houthi?

    Mimi kila siku nawaambia kuwa harakati yenu sio kuhusu haki wala ukombozi wowote. Harakati yenu ni ya itikadi na chuki. Full stop. Hamkuandamana kabisaa wala kuanzisha nyuzi nyingi kumshutumu houthi kama vile mnavyo mshutumu israel. Kwa nini? Eti kisa ni Muyahudi. Hio inaprove unafiki na...
Back
Top Bottom