Wakati wa hotuba ya rais kwa bunge la Marekani inayoitwa State of union, Democrats wameionyesha dunia kwamba wao ndio tatizo kubwa nchini humo, lakini wao ndio wenye media kubwa hivyo ni rahisi kuamua kipi kionekane, kipi kiaminikie, kipi kifichwe, kipi kifanywe kizungumziwe zaidi, kipi...
Hapa tunazugumzia bilionea alietengeneza empire yake kwa kuwa master wa man-magement, corporate na negotiations.
Mwamba wa miaka 79, kasimama lisaa limoja na nusu, bila makaratasi bila maneno ya siasa bali akiwa na confidence na facts za mambo aliyoyafanya.
Mwamba amesimama muda wote...
Rais wa Marekani Donald Trump amekosolewa kwa sauti na kelele alipokuwa akitoa hotuba ya Hali ya Taifa. Wakati Warepublican wakimpa Trump shangwe za kusimama alipokuwa akizungumzia sera yake ya uhamiaji, aliwakemea wale ambao hawakusimama akisema, “Mnapaswa kuwa na aibu.”
Tukio hilo la mvutano...
Rais wa Marekani Donald Trump alitumia hotuba yake kwenye Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) 2026 huko Davos, Uswisi, kueleza misimamo yake kuhusu usalama wa dunia, biashara, nishati na siasa za kimataifa, huku akisisitiza tena sera yake ya “America First” katika muhula wake wa pili.
Greenland na...
Rais wa 47 wa Marekani, Donald Trump
****
NIMEOKOLEWA NA MUNGU KUIFANYA TENA MAREKANI KUWA TAIFA KUBWA
"Uhuru wetu na hatima tukufu ya taifa letu haitakataliwa tena, na tutarejesha mara moja uadilifu, umahiri na uaminifu wa serikali ya Marekani. Kwa muda wa miaka minane iliyopita, nimejaribiwa...
"HOTUBA YA DONALD TRUMP KUHUSU KWA NINI ANAWACHUKIA WAAFRIKA NA WAARABU".
Hatulazimiki, hata kwa sekunde moja, kujaribu kuthibitisha kwa mtu yeyote na hasa kwa weusi na Waarabu kwamba sisi ni watu bora zaidi - tumedhihirisha hilo kwa weusi na Waarabu kwa njia 1001.
Marekani tunayoijua leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.