hiroshima

Hiroshima (広島市, Hiroshima-shi, , also UK: , US: , [çiɾoɕima] ) is the capital of the Hiroshima Prefecture in Japan. As of June 1, 2019, the city had an estimated population of 1,199,391. The gross domestic product (GDP) in Greater Hiroshima, Hiroshima Urban Employment Area, was US$61.3 billion as of 2010. Kazumi Matsui has been the city's mayor since April 2011. The Hiroshima metropolitan area is the second largest urban area in the Chugoku region of Japan, following the Okayama metropolitan area.
Hiroshima was founded in 1589 as a castle town on the Ōta River delta. Following the Meiji Restoration in 1868, Hiroshima rapidly transformed into a major urban center and industrial hub. In 1889, Hiroshima officially gained city status. The city was a center of military activities during the imperial era, playing significant roles such as in the First Sino-Japanese War, the Russo-Japanese War, and the two world wars.
Hiroshima was the first military target of a nuclear weapon in history. This occurred on August 6, 1945 in the Pacific theatre of World War II, at 8:15 a.m., when the United States Army Air Forces (USAAF) dropped the atomic bomb "Little Boy" on the city. Most of Hiroshima was destroyed, and by the end of the year between 90,000 and 166,000 had died as a result of the blast and its effects. The Hiroshima Peace Memorial (a UNESCO World Heritage Site) serves as a memorial of the bombing.
Since being rebuilt after the war, Hiroshima has become the largest city in the Chūgoku region of western Honshu.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Ndoto ilitotabiri Mwisho wa Japani Kabla ya Hiroshima na Nagasaki: Sehemu ya pili

    Tuendelee na sehemu ya pili na ya mwisho. Kupanda kwa Prince Fumimaro Konoe kuelekea kilele cha mamlaka hakukuwa matokeo ya mapinduzi, bali mwendelezo wa urithi wa kifalme uliovaa suti ya siasa. Sasa mwezi Juni 1937, kwa mapendekezo na maneno mazuri kutoka kwa mlezi wake Saionji Kinmochi, Konoe...
  2. Damaso

    Ndoto ilitotabiri Mwisho wa Japani Kabla ya Hiroshima na Nagasaki: Sehemu ya kwanza

    Vitabu vya historia vinatuambia kuwa kabla ya Hiroshima pamoja na Nagasaki kupigwa na pigo basi walikuwa wameshachapika vya kutosha, yaani kabla ya zile bomu mbili kushushwa kulikuwa na hali mbaya sana ndani ya Japani. Raia wengi walifahamu kuwa Japani pamoja na Mfalme Hirohito hawatoboi mbele...
  3. The Zanzibar Echo

    Hiroshima yakumbuka miaka 80 ya bomu la atomiki

    Mji wa kihistoria wa Hiroshima unafanya kumbukumbu ya miaka 80 tangu Marekani ilipoushambulia mji huo wa magharibi mwa Japan kwa bomu la atomiki Wengi wa manusura ambao sasa wameshazeeka wakielezea hasira zao kwa jinsi viongozi wa dunia wanavyoonekana kuunga mkono silaha za nyuklia kama njia ya...
  4. Allen Kilewella

    HIROSHIMA na NAGASAKI ya CHADEMA

    Siku ya tarehe 6/ 8/1945 saa mbili za Asubuhi mji wa Hiroshima ulipigwa bomu la Atomiki na siku tatu baadaye yaani tarehe 9/08/1945 majira ya saa tano za Asubuhi mji wa Nagasaki nao ulipigwa Kwa bomu la Atomiki pia. Miji yote miwili ipo nchini Japan. Miji hiyo miwili ilipigwa mabomu hayo ya...
  5. 100 others

    Israel imeipiga Gaza kwa makombora yenye uzito mara 3 ya ule wa kombora la nuke lililopigwa pale Hiroshima

    Ukielezea kuhusu Israel utasikia kila mtu akizungumzia six days war, operation Entebbe na covert operation ambazo walifanya pale middle east. Watu inabidi waelewe hizo story zilipendwa, ni kama miaka ile wazee wetu wanakuambia Peugeot 504 ni gari inakimbia sana, au 90's tunasikia Land Cruiser...
  6. Arnold Kalikawe

    Pentagon kuja na Bomu la Nyukilia lenye nguvu mara 24 zaidi ya lile la Hiroshima, Japan

    Idara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuja na bomu jipya la nyuklia, B61-13, ambalo litakuwa na nguvu mara 24 zaidi ya lile lililoangushwa huko Hiroshima wakati wa Vita vya Pili vya Dunia mwaka 1945. Bomu hilo jipya la nguvu ya nyuklia la B61-13 lililopendekezwa na Marekani litabebwa na...
Back
Top Bottom