hiari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

    Bunge kupitia mh Sipika nasikia eti ataweka zuio la wabunge wote ambao hawatakuwa wamechanjwa wasiingie bungeni Kwa kauli moja ya Mh Rais huwa ni sheria, Mh Rais alitangaza wakati tu nchi inajiandaa kuingia kwa ajiri ya wananchi kupata chanjo kwamba, Chanjo ni hiari ya mtu, mtu akitaka na...
  2. B

    Kenya: Chanjo ya Covid lazima kwa watumishi wa Umma

    Kuwa na dhamana ya maisha ya watu ni pamoja na kuwajibika zaidi hata dhidi ya ujinga wao. Babu wa Loliondo angekuwa hai Kenya lakini si Tanzania. Heko rais Kenyatta kwa maana heri lawama kuliko fedheha. Kenya kwa mtumishi wa umma, chanjo ni lazima. Pole pole tutafika tu. Kwanza Janssen...
  3. PendoLyimo

    Mbunge Asia Halamga: Chanjo ya UVIKO-19 ni hiari, Serikali haiwezi kuumiza wananchi wake

    Leo Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Asia Halamga akiwa Mgeni Rasmi amefanya Uzinduzi wa Vijana Jogging Club Mkoa wa Kilimanjaro ambao una Kauli Mbiu "Amani Yetu, Maisha Yetu, Chukua Tahadhari Dhidi ya UVIKO-19" Akizungumza na Vijana mbalimbali waliojitokeza kwa wingi kushiriki uzinduzi huo...
  4. hafidhasha

    Hiari yenye hamasa

    Hiari yenye hamasa, ni nini maana yake? Ni kutenda badala ya kusema, si kusema nitafanya ila ni kutenda na kuwa mfano. Ni kuamua kuwa mfano chanya kwa familia yako, rafiki zako, watu wanaokuzunguka, unaowajua na usiowajua. Ni kuamua kuibadilisha dunia kuwa bora kuliko ulivyoikuta. Ni...
  5. S

    Chanjo ya Corona iwe lazima kwa baadhi ya makundi yanayotoa huduma za kijamii

    Chanjo ya Korona inaweza kuwa hiari, lakini usiseme hutaki chanjo halafu uendelee kuwa konda wa basi au nesi hospitali, tafuta kazi nyingine. Katika hali ya haki za binadamu, kila mtu ana uhuru wa kufanya analotaka ili mradi asivunje sheria au kuingilia au kuathiri haki za watu wengine katika...
  6. U

    Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

    Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania; 1) Itangaze uwepo wa Corona 2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona 3) Ikubali maadhimio ya Kikanda na Kimataifa 4) Ipanue maktaba za kupima 5) Itoe takwimu sahihi za Corona 6) Tiba asili zitathiminiwe Kisayansi Rais Samia Suluhu...
Back
Top Bottom