Eze 2:7 SUV
[7] Nawe utawaambia maneno yangu, kwamba watasikia, au kwamba hawataki kusikia; maana hao wanaasi sana.
Agizo alililopewa nabii Ezekieli ni kusema na Israeli waliokuwa wanaasi na walio wagumu wa mioyo. Kazi yake ilikuwa kuhakikisha ujumbe wa Mungu unawafikia watu hawa, bila...