Assalaaam alykum.
Ndugu yangu, hakuna shaka siku moja watu watakusanyika kwa ajili ya kifo chako.
Na tambua kuwa kaburi lako ndo kituo cha kwanza katika maisha ya akhera, maisha yenye tabu na mashaka kama hukuwa na maandalizi mema na yatakuwa ya raha na amani kama ulijiandaa vyema.
Kwa hiyo...