genz

Genz (Persian: گنز; also known as Genizī and Gīnzī) is a village in Irandegan Rural District, Irandegan District, Khash County, Sistan and Baluchestan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 361, in 92 families.

View More On Wikipedia.org
  1. PostGE2025 Suala la Mapambano dhidi ya Ufisadi, Nepotism na uroho wa Madaraka sio la Gen z pekee, ni la Watanzania wote

    Hoja kubwa ni kwa nini baadhi ya watu kadhaa wajione wao ndio watu wenye kunufaika na hili taifa? Kwamba wao wanawez kujipa madaraka, kuiba mali za umma na kuona raia wengine ni takataka. Suala la kupambana na watu kama hawa sio la kuwaachia Gen z peke yao. Ni suala la kila Mtanzania.
  2. Dini mpya yaibuka Tanzania, Kumbukizi miaka 5 iliyopita mwana JF Likud aliwahi sema Genz hawana dini

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Hii naichukulia kama kumbukumbu maishani mwangu kwamba usiepende kukaa unapinga kila jambo Mwana JamiiForums Likud miaka takribani saba iliyopita aliwahi sema humu jukwaan kuwa watoto wa mwaka 2000 hawana dini kipindi hicho jina la Genz...
  3. Genz wameibua jambo jingine: Wanadai watoto wa Spika wa Bunge Zungu wana uraia wa Belgium

    Genz hawapoi. Wamekuja na madai mengine mapya kuwa watoto wa spika wa bunge, Zungu waliomba uraia wa Belgium kama wakimbizi kutoka Somalia. Cha kushangaza zaidi wamepewa NİDA hapa nchini. Wamempa wiki moja ajiuzulu la sivyo wataweka passport zao adharani watasasiliana na mamlaka za uhamiaji...
  4. PostGE2025 Kuelekea D9: GenZ watoa Tahadhari ya kiusalama kwa wageni na watalii wanaotarajia kuingia Tanzania kuanzia 9/12/2025

    Raia wazalendo wa taifa hili maarufu kama GenZ wanaoongoza harakati za kudai HAKI na UWAJIBIKAJI na UCHAGUZI HURU, HAKI na wa WAZI kwa njia ya maandamano yasiyo na ukomo yatakayoanza tarehe 9/12/2025 na kuendelea Wametoa taarifa kupitia vyombo vya habari (PRESS STATEMENT) kwa wageni na watalii...
  5. Sikiliza maongezi wa vijana wa Tiktok kuhusu yanayoendelea nchini

    Sikiliza hizo clip kutoka Tiktok Zisikilize kwa mpangilio wa kinamba ndio utaelewa madudu ambayo CCM wanavyolibagaza taifa hili sikiliza hizo clip kutoka ticktock zisikilize kwa mpangilio wa ki namba ndio utaelewa madudu ambayo wahuni wa ccm wanavyolibagaza taifa hili
  6. G

    Genz wanazidi kutoa uchambuzi wa maadui wa Taifa tutoe maoni kama wako sahihi wakuu

  7. PostGE2025 Samia anamtumia Nanauka kuwazima Gen-Z

    Joel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
  8. B

    PostGE2025 Maandamano ya Gen Z, sababu ya Mawaziri wa Polisi na JWTZ kuoneshwa mlango na Samia?

    Kina nani wengine ndani ya vyombo hivi kutupiwa zigo la lawama ya mauaji ya mamia ya watanzania baada ya hawa mawaziri kutupwa nje ya baraza la mawaziri . 17 November 2025 Dar es Salaam, Tanzania SAMIA HASSAN DROPS TWO KEY SECRETARY OF STATES FROM HER NEW CABINET, THEY WERE RESPONSIBLE FOR...
  9. PostGE2025 Gen Z: Msamaha wa Samia umekataliwa. Tunasisitiza wafungwa wote waachiwe haraka

  10. Mkikubali maridhiano ina maana kweli nyie ndo mlikuwa nyuma ya GenZ na mna kesi ya kujibu, huo ni Mtego Polepole alikataa Maridhiano

    Kuna mtego. Mkikubali maridhiano, mjue mmekubali kuwa nyie ndiyo waandaaji wa vijana wa GenZ. Oktoba 29 kesi zimewekwa pending, mkikosea kidogo wanawarudisha ndani na mtapata kesi ya kujibu tena. GenZ ni nguvu ya umma, maridhiano yanaweza kuwa mtego wa kuwanasa. Chadema, kuweni makini. Polepole...
  11. A

    Tuweni makini, CCM wanazidi kueneza propaganda mbaya dhidi ya Gen Z

    Tuweni makini ndugu zangu hawa wahuni wanaweza kugeuza kibao kwetu tukaonekana sisi ndo wenye makosa alafu wao wana haki Wameanza harakati za kueneza propaganda kuwa waandamanaji walikuwa raia kutoka nje hasa hasa wakenya na lengo lao lilikuwa kuchafua cv ya tanzania kimataifa. Tusipokuwa...
  12. U

    GE2025 Ametangazwa mshindi? NDIYO. Ameapishwa kuwa Rais wa muhula wa II awamu ya 6? NDIYO. Lakini hatatawala!!.. Ndo tu vita kati yake na GenZ imeanza!!

    1. Mpaka sasa ndugu zetu wameuwa, watoto na rafiki zetu, vijana wetu wa kike na kiume zaidi 3,000. NDIYO zaidi ya ELFU TATU PLUS. 2. Si amejitangaza kuwa mshindi kwa kura feki za namba za kubumba? Jibu ni NDIYO kajitangaza 3. Si wamejikusanya huko uchochoroni Dodoma na kujiapisha na kujipa...
  13. K

    Gen Z wapewe maua yao kwa mara ya kwanza wamesimama

    Genz Z wapewe maua yao kwa mara ya kwanza wamesimama. Dharau za kupitiliza na watu kuwaona vijana wetu wajinga jinga sasa wamejiletea heshima na kuonyesha wana hasira. Tukiendelea kuwa puuza hii nchi itabakia majivu. Vijana wamechoka uongo
  14. Ni vigumu sana kufanya maandamano kwa mpango wa GenZ, vyombo vya usalama vimedhibiti njia za mawasiliano na wafanya "Phone Tracking" kukamata watu

    Nimeeleza kwenye moja ya mada za Britannica namna vyombo vya usalama vinavyofuatilia na kuteka watu wasipatikane kwa muda au hadi uchaguzi utakapokamilika. Mimi soma profile yangu nipo kama mchambuzi fulani hivi lakini baada ya kuona mambo fulani hivi imebidi niingie in details kuongea na Gen Z...
  15. The Cleaning of the cities of Nepal by the Genz continues!

    This is commendable. Tomorrow when this country starts doing very well, some people will leave the bad politicians in their country to go and drag jobs with them and even take their jobs because they are desperate to work and can even take little amount to work as citizens won’t take those...
  16. Ushabiki usiokua na mantiki Wala faida yeyote ile kijana upo kwenye keyboard unaisifia ISRAEL au IRAN

    Ushabiki usiokua na mantiki Wala faida yeyote ile kijana upo kwenye keyboard unaisifia ISRAEL au IRAN wewe ni fala tu SIMBA na YANGA zimekua dini za vijana wapumbavu upo tayari kumtukana mwenzio pia hata kufa sababu ya simba au Yanga wewe ni kilaza Leo unamchukia chama kisa yupo Yanga...
  17. Agenda kuu ya Genz ni kuiba

    https://vm.tiktok.com/ZMSxNxDRE/
  18. Kwenye maandamano ya GenZ wa kenya kuna matukio ya wizi pia, Duka la Smoothers limeporwa

    Katika LIVE moja iliokua inaendelea kule mjini TIKTOK wakati wengine wakiwa na mabango vikundi kadhaa vilkua bussy na uizi katika mduka ya Smoothers, Polisi wameingilia kati lakini walikua wameshaiba vitu vingi Kama ulikua unadhan GenZ wa kenya ni wana mapinduzi basi fikiria tena, huenda...
  19. Survey: 60% of employees said they cant hire GENZ as they lack work ethics and lazy

    https://www.youtube.com/watch?v=qjOjxNPVnP8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…