Signals intelligence (SIGINT) is the act and field of intelligence-gathering by interception of signals, whether communications between people (communications intelligence—abbreviated to COMINT) or from electronic signals not directly used in communication (electronic intelligence—abbreviated to ELINT). As classified and sensitive information is usually encrypted, signals intelligence may necessarily involve cryptanalysis (to decipher the messages). Traffic analysis—the study of who is signaling to whom and in what quantity—is also used to integrate information, and it may complement cryptanalysis.
Nikiona picha za gen z Kenya halafu mda huo nasikiliza Ngoma za lucky dube huwa Kuna vibe flani hivi la kuingia rodi hiyo tarehe 29 nikikumbuka asili ya mtanzania ni uoga mpaka mtandaoni nachoka
Wakuu,
Yaani Kenya kila mtu mbabe. Inaonekana kwenye haya maandamano kuna vijana wamevurugwa to the point wanachoma mali za Serikali.
Hii ni video inayoonesha vijana ambao The Citizen imewaita kama "wahuni" wamenaswa kwenye kamera wakichoma magari ya Serikali ya Kaunti ya Nyandarua mjini Ol...
1. Ilianza na Finance Bill, ikabadilishwa to take care of their demands.
2. Loss of life inaendelea. jana wamekufa 8
3. Rutto amesema watulie atawasikiliza, hawataki
Sasa wanataka nini?
Familia za waathiriwa wa mauaji yaliyotekelezwa na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z mwaka jana dhidi ya Muswada wa Fedha (Finance Bill) mwaka jana, zimetangaza kufanya maandamano ya amani jijini Nairobi na maeneo mengine nchini Jumatano ijayo kuadhimisha mwaka mmoja tangu vifo vya wapendwa...
Hii ni kwa wale wenye mapenzi mema ma wazalendo wa nchi yao, Wote tunashuhudia ukandamizaji mkubwa wa demokrasia, utekaji na mauaji makubwa yakifanyika mchana kweupe. Wote tunashuhudia ni kwa jinsi gani CCM imedhamiria kutumia mabavu kwa namna yoyote kuhakikisha inasalia kwenye dola, Nani...
Ukibisha sawa ukiafiki chukua hatua , ukivimba utavimbishwa na utapasuka Mungu hachezewi.
Kupanga ni kuchagua aidha mipasho, jeuri, kibri na dharau wajiandae kwa mashimo ya futiz za kutoshea.
Tuishi kwa namna ya udogo na ukubwa wenye kunyenyekea .
Ni hayo tu
Kuna baadhi ya Wakenya jana waliandamana kwenye ubalozi wetu wakitaka ubalozi ufungwe.
Kuna mbunge amependekeza viongozi wa Tanzania akiwemo Rais Samia wazuiwe kuingia nchini mwao.
Kuna wengine wamependekeza watanzania hasa ombaomba 'beggars' walio Kenya wafukuzwe.
Hii yote inaonyesha wako...
Nimeona watu wakijenga hoja kwamba “huyu kijana ameongea vizuri BILA MATUSI, KEJELI, WALA LUGHA YA KUUDHI” na kwa namna fulani wanawanyooshea kidole wale wanaotumia “LUGHA KALI” kuwasilisha malalamiko yao Tanzania.
Kwanza niseme ni privilege ya hali ya juu kuwa na nafasi ya kusikia UKALI WA...
Gen Z ni vijana waliozaliwa MIAKA ya 2000 mpaka 24. Kizazi hiki kina maisha na purukushani nyingi za kisiasa , kiuchumi, na kijamiii . Kwa nchi kama Tanzania Ili Hawa vijana watulie ni lazima uwafanyie mambo yafutayo.
1. WALETEE VIDEO ZA NGONO.
Hawa madogo hawajambo Kwa mambo ya ngono...
Huyo jamaa pembeni sijui ni mwanasheria au la, anamzuia zuia jamaa kuyamwaga, jamaa hamsikilizi kabisa anamwagika tu. This Spirit!
Imebidi maaskari polisi wafanye kazi yao kumnyamazisha kwa kumtoa kizimbani ili kutetea watawala wanaosemwa
Tuje Huku kwetu sasaaa, kulia yupo Magoma, Kushoto ni...
Gen z wanadili na Ruto ndio anaye kusanya kodi na kuzitumia vibaya, Raila wala Kalonzo hawakusanyi Kodi, Raiala yuko enzi za Moi na hakusanyi kodi za Kenya waka hapangi bajeti ya Kenya.
Tanzania SAMIA ndio anaye kusanya kodi na tozo na kuzitumia kwa anasa huyu wajinga hawamuini. Wanaoambana...
Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.
Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.
Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya...
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao...
Breaking news
Ofisi ya Deputy President na Prime minister haziguswi na maamuzi haya
Citizen TV
======
Rais wa Taifa la Kenya, William Ruto amewafuta kazi mawaziri wote wa Baraza lake, kufuatia shinikizo kutoka kwa vijana wa kizazi cha GenZ waliotaka mabadiliko.
Katika kutangaza mabadiliko...
Kudinda kwao kua na mazungumzo na viongozi wa serikali ikiwa ni pamoja na Rais mwenyewe William Samoe Ruto alietoa wito wa majadiliano tangu mapema sana mwa mwanzo wa maandamano yao..
Lakini pia dhana ya kwamba wao hawana viongozi, huku pia wakiwakataa wanaojiita viongozi wao wanayojaribu...
Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi
Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni...
Idadi ya waliojeruhiwa katika maandamano ya kupinga serikali yanaendelea kuongezeka, huku watu wengine 35 wakilazwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na majeraha ya risasi na majeraha mengine tofauti siku ya Jumanne.
Uongozi wa hospitali unasema idadi inatarajiwa kuongezeka usiku kufuatia...
Siyo rahisi kuyafikia malengo na mahitaji yenu ya msingi mengi na yote kwa pamoja. Inahitaji muda na nafasi.
Inafahamika na Imebainika Africa na duniani nzima, mnatamani mahitaji yenu yote ya msingi yatimizwe. Serikali imekubali, na imewaalika mezani kuzungumza nanyi mnataka nini tena mtaani...
1. Hawawezi kujifunza lolote. Kwa nini wakose la kujifunza?
JIBU:
Watawala, CCM for that matter, walihakikishiwa na Kenyatta enzi hizoza uhai wake kuwa
.1. WATANZANIA NI MAITI, HAWAWEZI FUKUKUKA, you need not worry about them
2. WAGANDA WAJINGA, WAKIELIMISHWA WATAJITAMBUA NA KUTETEA HAKI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.