gari la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ChekoFagia

    Polisi wanapotumia gari zisizo na plate number, kwanini wananchi wasiamini matukio ya utekaji yanafanywa na wao?

    Kumekuwepo na mjadala mtandaoni baada ya kuonekana gari dogo linalodaiwa kuwa la polisi likiwa bila namba ya usajili maeneo ya Tabata, Dar es Salaam. Hali hii imewaacha baadhi ya wananchi na maswali lukuki, hasa ikizingatiwa kwamba magari yasiyo na plate number mara nyingi huhusishwa na matukio...
  2. R

    Video: Mama aelezea mwanae alichukuliwa na gari la Polisi lakini amezunguka vituoni na hospitali hajampata

    Kupitia ripoti ya DW ikimuhoji Mama kwa jina Elizabeth Makule, ameelezea namna mwanae alichukuliwa na gari la Polisi ikiwa baada ya kupigwa risasi mguuni katika vurugu zilizotokea Oktoba 29, Mama huyo amesema tayari amefika katika vituo mbalimbali vya Polisi na hospitali lakini hajamuona mwanae...
  3. tucker carlson

    Video: Gari la polisi Arusha limekanyaga bodaboda na kuendelea na safari zake kama kawaida

    Wakuu, Hivi kwanini lakini Polisi wana-treat Watanzania kama Wanyama wa Porini?
  4. ndege JOHN

    Naomba kujuzwa kazi ya hili gari la polisi lenye kama radar hapa Morocco

    Barabarani hapa karibu kabisa na kituo cha osterbay polisi kuna gari NI la polisi ila linafanana na Yale ya jeshi la IDF kwa juu kina kama radar inazunguka Ile kazi yake ni Ku detect kitu gani naomba mwenye uelewa
  5. Just Pray

    Njombe: Askari magereza aliyedaiwa kumuua mwenzake adaiwa kujiua kwa kujirusha kwenye gari la polisi

    Askari wa Jeshi la Magereza mkoani Njombe Erasto Mlelwa (26) amejiua kwa kujirusha kutoka kwenye gari la polisi baada ya kubainika kushiriki mauaji ya askari mwenzake wa jeshi hilo Dickraka Mwamakula (24) huko Lilondo halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma. Hayo yamebainishwa leo Septemba 21,2025...
  6. Waufukweni

    Muumini wa Askofu Gwajima akifanya maombi ndani ya gari la Polisi

    Miongoni mwa waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (Kanisa la Gwajima) akifanya maombi ndani ya gari la polisi baada ya kukamatwa na kuwekwa humo ikidaiwa sababu ni kuandamana na kukataa kutekeleza amri ya Jeshi la Polisi iliyowataka kutawanyika na kuacha kuendelea kufanya ibada pembeni ya...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Kuhusu madai ya kubeba wanachama wa CCM. Polisi Simiyu wasema walisaidia kubeba Wananchi walioharibikiwa gari

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limekanusha madai kuwa gari lake lilitumika kubeba wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mnamo Machi 22, 2025, kama ilivyosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa taarifa ya jeshi hilo, gari la polisi lenye namba PT.4342 lilikuwa likitoka Wilaya ya...
  8. M

    PreGE2025 Mbunge Musukuma atumia zaidi ya Tsh bilioni 1 kununua ambulance, gari la Polisi na kujenga kituo cha Polisi Geita Vijijini

    Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Musukuma, leo Machi 6, 2025, ameonesha magari 10 ya kubebea wagonjwa pamoja na moja kwa ajili ya Jeshi la Polisi, ambayo atawakabidhi wananchi wa jimbo lake ili kuboresha huduma za afya na usalama wa jamii. Musukuma amesema magari hayo yatanufaisha wananchi wa...
  9. The Sheriff

    Marekani: Afisa wa polisi asimamisha gari la polisi kwa kuzidisha mwendo

    Huko Florida nchini Marekani afisa mmoja wa polisi amezua gumzo baada ya kusambaa kwa video yake inayomuonesha akimsimamisha afisa mwingine wa polisi kwa kuendesha gari kwa spidi kali. Mazungumzo kati yao yalikuwa hivi: "Nini?" aliuliza afisa huyo baada ya kushuka kutoka kwenye gari la polisi...
Back
Top Bottom