gari inauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Collin Butondo

    Car4Sale Nissan Dualis for sale

    Maker: Nissan Model: Dualis Body Type: Station Wagon Color: Black Year of manufacture: 2007 Engine Capacity: 1990 Fuel Used: Petrol Imported from: Japan Asking price: 16m Previous Owners: 0 The price is Negotiable, Karibu tufanye biashara.
  2. P

    Car4Sale Toyota Land Cruiser Lexus HDJ81 ya Mwaka 1996 inauzwa

    Gari ya Toyota Land Cruiser Lexus HDJ81 ya Mwaka 1996 - Inayo Turbo na Inatumia Diesel, Mmiliki wa Kwanza, Hali Nzuri. Asking Price: TZS 28,000,000 Muhtasari: Hapa ni gari ya Toyota Land Cruiser Lexus LX 450 LC/ 80 ya mwaka 1996, inayotumia turbo na mafuta ya diesel. Ni stesheni wageni yenye...
  3. E

    Car4Sale Gari inauzwa

    Gari inauzwa bei TSH.21,000,000/-TU ipo kwenye hali nzuri sana ilikua inasafirishiwa mikate tu ,mwenyewe kapatwa na shida ya ghafla anauguliwa ,ukihitaji kuiona ipo maeneo ya kigamboni maelezo zaidi mawasiliano,0768496151/0777496161.
  4. dalali Tambwee

    Car4Sale Gari inauzwa - Nissan March

    Nissan march Top speed 200 Cc 1400 Bei 5.5 million BIMA IPO HAIDAIWIII Sound option on steering Full ac na full file Gari haina changamoto yoyote ile ya ufundi Ipo dar es salaam , sinza 0784020604
  5. dalali Tambwee

    Car4Sale Gari inauzwa, ipo Dar es salaam

    Altezza Lexus Engine beams 2000 Bei million 4.6 Full ac na document Gari haina kipengele chochote kile, ipo Dar es salaam. Nicheki: 0784020604 Maongezi kwenye gari tafadhali.
  6. H

    Car4Sale X-Trail inauzwa Tsh. Milioni 10.3

    Gari Nissan xtrail for sale Dar es salaam: Mwenge Milion 10.3 Karibuni. Namba: 0747713713
  7. Brightly

    Car4Sale Gari aina ya Harrier linauzwa Mwanza

    Gari inauzwaa mwanza Million 24, ina kila document muhimu inayohitajika. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 769 088 152
  8. A

    Rav4 massawe used

    Habari zenu wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada nahitaji hiyo gari budget yangu ni mil 7,asanteni
  9. Guantanamoh

    Car4Sale Gari aina ya Toyota Grande Mark II. Gx 110 inauzwa

    Habari Waungwana. Gari aina ya Toyota Grande Mark II. Gx 110 Inauzwa Ipo kimara Dar es salaam.Imechukuliwa🤝
  10. dalalimhenga

    Car4Sale Gari inauzwa

    Gari imenyoka haina tatizo lolote. Bei Milioni 4 Lilipo dar es salaam. Call 0742141467 au 0686648630
  11. N

    Gari inauzwa Toyota Mark II GX 100 Tzs. 2.5m

    Assalaam Wanabodi, Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote. Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
  12. N

    Gari Inauzwa Toyota Mark II Gx 100 Tzs. 2.5m

    Assalaam Wanabodi, Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote. Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
  13. facepozz marketplace

    Car4Sale Gari IST inauzwa

    Gari aina ya TOYOTA IST Inauzwa Inapatikana Mwanza Bbei ni million 9. Maelewano yapo wasiliana 0755213580.
  14. Lemaitre

    Car4Sale Gari ya kazi inauzwa

    Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa. Make: Eicher Mode: truck Model number: MC2B6 Year of manufacture: 2017 Engine Capacity: 3298 Fuel used: Diesel Seating capacity: 3 Mileage: 15868 Price 32 Millions Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Msaidie Bujibuji anunue VW Polo

    Ndugu wana JamiiForums, hivi kwani maisha mazuri kaumbiwa Kiduku Lilo tu? Hata mimi napenda niendeshe gari kali ya Mjerumani VW Polo, yaani. Amaizing (hili neno hata sijui tafsiri yake). Haya sasa mpango uko kama hivi, nauza mgoma wangu huu Toyota Wish, ukiuchukua naongeza hela kuduchu tu...
  16. M

    Car4Sale Toyota Rush 8.5M

    Good condition Toyota Rush available for sale. 8.5 Million Tshs . Buy now for 7.5 million (no negotiation) Engine size: 1490cc Manufacture yera:2006 Transmission: Manual Color: Black Fuel: petrol No DDR contact: call/sms/whatsapp 0699494650 Dar es Salaam
  17. Gabbimakini

    Car4Sale Toyota Runx for sale

    Car Basic Info Chassis NZE121-5025689 Maker TOYOTA Name RUNX Grade X AERO TOURER 2WD CC 1490 Color SILVER RYear 2002 /4 PYear 2002 KM 85 Price 13m. Piga simu 0688351006 Whatsapp me 0688351006
  18. Gabbimakini

    Car4Sale Gari aina ya Harrier linauzwa

    Toyota harrier (tako la nyani) Gari imetunzwa Haijarudiwa rangi Full ac Full documents Bei ni 19M Tunakusaidia kuissue transfer of ownership Piga simu 0688351006
  19. ElectronicSalim

    Nissan X-trail new model

    xtrail new model Bei 15.5 Million 78,000 KM Petrol Engine 1990cc 1 owner , the car has been well taken care of. Call 0762 53 578
  20. moudyjr

    Car for sale

    Toyota Passo (2006) Model Price: 9.5 million maongezi yapo Nipigie tuyajenge: 0715722673/0786722673
Back
Top Bottom