Assalaam Wanabodi,
Nauza gari yangu aina ya Toyota Mark II Gx 100. Gari hii iko katika hali nzuri. Haijaguswa Engine wala Gearbox kwa matengenezo yoyote.
Changamoto kidogo iko kwenye bodi, sehemu ndogo sana ya juu imelika kutokana na chumvi ya bahari hapa Dar es Salaam. Na hii ni kutokana na...
Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa.
Make: Eicher
Mode: truck
Model number: MC2B6
Year of manufacture: 2017
Engine Capacity: 3298
Fuel used: Diesel
Seating capacity: 3
Mileage: 15868
Price 32 Millions
Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona...
Ndugu wana JamiiForums, hivi kwani maisha mazuri kaumbiwa Kiduku Lilo tu? Hata mimi napenda niendeshe gari kali ya Mjerumani VW Polo, yaani. Amaizing (hili neno hata sijui tafsiri yake).
Haya sasa mpango uko kama hivi, nauza mgoma wangu huu Toyota Wish, ukiuchukua naongeza hela kuduchu tu...
Good condition Toyota Rush available for sale.
8.5 Million Tshs .
Buy now for 7.5 million (no negotiation)
Engine size: 1490cc
Manufacture yera:2006
Transmission: Manual
Color: Black
Fuel: petrol
No DDR
contact: call/sms/whatsapp 0699494650
Dar es Salaam
Car Basic Info
Chassis NZE121-5025689
Maker TOYOTA
Name RUNX
Grade X AERO TOURER 2WD
CC 1490
Color SILVER
RYear 2002 /4
PYear 2002
KM 85
Price 13m.
Piga simu 0688351006
Whatsapp me 0688351006
Toyota harrier (tako la nyani)
Gari imetunzwa
Haijarudiwa rangi
Full ac
Full documents
Bei ni 19M
Tunakusaidia kuissue transfer of ownership
Piga simu 0688351006
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.