Ningependa kuona nyimbo nyingi za zamani ambazo zilitamba na hazikuwa na video zikitengenezewa video. Mad Ice ni kama kashoot video na kama kurudia kuimba wimbo upya, sound ya audio sasa hivi quality imeongezeka
https://youtu.be/IOoi4s4KMzA?si=gI0UjjIWCH7ZOAgj
Gal Gadot’s star on the Hollywood Walk of Fame was destroyed just hours after being placed!
Hollywood walk of fame is a place of legends 🙌 hopefully she will understand that now.
Habiri wanaJF,
Mimi ni kijana wa kiume umri22, nilihitimu form 6 mwaka jana lakini sikufanikiwa kwenda chuo kwa sababu za kiuchumi.
LENGO: Tafadhali naombeni mnisaidie kazi yoyote halali kama ni kulima, kuuza duka n.K, niweze kujikwamua.
Natanguliza shukrani
za mda huu waku hapa, nimekuwa nikiona watu wanafungua office ya kubetisha kama gal sport na nyingine kama hizo, kama kuna mtu anajua taratibu zake za kufata na namna ya kupata faida naomba anielekeze hapa
The Goddess Rosa Ree has come through with another BANGER titled #ThatGal
The Tanzanian female rapper does not seize to amaze us with her versatility and limitless talent.
In this new joint she has fused 3 languages that is English, Swahili and the Jamaican patwaa. The command and authority...
Kutokana na teaser ilianza kusambaa tangu wiki ilioisha huko kwenye mitandao ya kijamii "FUNDI BORA KWAKO NI NANI" Hatimae leo mida ya saa nane majira ya mchana fumbo litaenda kufumbuliwa,
Je ni Lil Ommy, Sam Misago, Ammy Gal na Dj Mafuvu kutambulishwa rasmi Wasafi..? mimi sijui yetu macho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.