SINA CHAGUO
Simulizi tamu ya maisha, iliyosheheni visa na mikasa ya kuzisisimua hisia chanya za msomaji. Ukafumbuka macho uone, yazibuke masikio usikize kwa usahihi kila kilichotamkwa na kuzungumzwa na mwandishi kupitia wahisika bora waliochorwa kwa taswira za kuvutia.
Utavutiwa na mengi...
Mimi ni kuhusu kutomuamini mlevi - maisha yamenifundisha kutomuamini mlevi kabisa, hasa akiongea wakati kalewa!
Pili, maisha yamenifundisha mafanikio yanakuhitaji wewe moja kwa moja bila kutegemea msaada kutoka kwa mtu yoyote ili tu akushike mkono uinuke hapo ulipo, sio kweli.
Maisha haya...
Nitalia arsenal atapo beba ubingwa, hakika hii ni kubwa kuliko, funzo kubwa kwenye maisha linatolewa na arsenal, mara ya mwisho kubeba ubingwa wa epl nadhani ilikua 2003/2004.
Ni miaka 22 imepita bila kukata tamaa, wameshindwa sana, hawa kukata tamaa, na sisi sasa tujifunze. hujapata bahati ya...
Kikubwa ni kuwa Jasiri tu katika lolote unalopitia Muda huu.
Kuna wakati mtu unaweza kupita kwenye changamoto kubwa sana na ukawa huoni wapi utatokea.
Lakini nakuhakikishia kuwa hakuna lenye Mwanzo lisilokuwa na Mwisho.
Haijalishi ni Changamoto ipi amini kuwa itapita tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.