fundi umeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Fundi Umeme na Jamaa wa TANESCO nani yupo sahihi?

    Wawili hawa wametofautiana pakubwa sana kuhusu kiwango cha kuingiza umeme. Fundi umeme anasema single phase, mtu wa TANESCO ameshangaa sana, anasema huu mjengo ni mkubwa unawekaje single phase? Anasema iwe three phase. Nani mkweli hapa Matumizi makubwa AC 2 master na sitting room Heater 3...
  2. dark web

    JamiiForums Tanzania Fundi Umeme na vifaa vya kielectroniki, anapatikana, uzoefu wa kazi, ubora na uaminifu!

    Habari wanajukwaa, Naitwa fundi mwenye uzoefu mzuri katika fani ya umeme na vifaa vya kielektroniki, napatikana Dar es Salaam. Nimekuwa nikihudumu kwa ufanisi katika kazi mbalimbali zinazohusiana na matengenezo, usimikaji, na ushauri wa kitaalamu kwenye vifaa vya kila aina. Huduma ninazotoa ni...
  3. Fredrick Bujinji

    JamiiForums Tanzania Fundi umeme nipo hapa

    Habari zenu, Ni mwaka wa 9 sasa nimekuwa nikizunguka na kampuni X nikiwa kama fundi umeme wa kampuni ilihali sijasomea io taaluma, nimekuwa ni mtu wa kujisomea majarida na vitabu mbalimbali vinavyohusu masuala ya umeme pamoja na kufundishwa na wabobezi wangu. Nimefanya shughuli za ufundi umeme...
Back
Top Bottom