fortunatus buyobe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya kelele nyingi mtandaoni, Jeshi la Polisi lamwachia Fortunatus Buyobe kwa dhamana

    Wakuu, baada ya kelele nyingi mtandaoni, Jeshi la Polisi Ofisi ya Chang'ombe limemwachia Fortunatus Buyobe kwa dhamana. Enyi jeshi la Polisi msiosikia, mbona mmegoma kuwa wastaarabu na kufuata PGO? Kwanini mnakamata watu kimyakimya, hamtoi taarifa na hamtoi haki ya dhamana kwa wakati...
  2. G Sam

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dar: Fortunatus Buyobe adaiwa kutekwa na wasiojulikana

    Mwandishi wa makala za uchunguzi ndugu Fortunatus Buyobe anadaiwa kutekwa jioni ya leo maeneo ya Dar. Hata hivyo waliomchukua wamejitambulisha kwake kuwa ni Polisi ila haijajulikana alipopelekwa mpaka sasa. Soma pia: Fortunatus Buyobe: Maisha yangu yapo hatarini, nawindwa na Askari wenye...
  3. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fortunatus Buyobe: Maisha yangu yapo hatarini, nawindwa na Askari wenye silaha za moto ambao pia wamevamia kwangu bila kibali

    Anaandika Fortunatus Buyobe kwenye Mtandao wa X ==== Juzi niliripoti tukio la jaribio la watu kuniteka. Watu wale wakitumia gari tatu aina ya Land Cruiser na Subaru Forester nyeusi walitaka kuniteka nikiwa naendesh gari langu. (Sijui walitumia muda gani kujua gari ninalotumia, Sijui walijua...
  4. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Fortunatus Buyobe, ni Muandishi yupi mwingine anayefanya vizuri katika Makala za Uchunguzi?

    Fortunatus Buyobe ndiye muandishi wa makala za Uchunguzi ninayemfahamu. Kwa muda mrefu Nimekuwa nikisoma makala zake tangu Twitter, Telegram na Sasa Clubzilla. Hivi karibuni amekuwa mzembe kwani amekuwa akirudia_rudia makala. Tunalipia subscription Kila mwezi lakini ameanza michezo wa kupost...
  5. USSR

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Fortunatus Buyobe na Waziri Gwajima itasababisha mtu aliwe kichwa karibuni

    Baada ya Fortunatus Buyobe kutaka mtoto nayeumwa asaidiwe na wizara huku akishindwa kutofautisha baina ya wizara aya afya na ile ya jinsia na ulemavu na mwishowe kuambiwa afate utaratibu jamaa amekuwa mbogo na kuaishia kulumbana na waziri. Hizi dili za kuchangisha harambee mitandaoni imekuwa...
  6. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Fortunatus Buyobe ni nani na anapata wapi taarifa nyeti?

    Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa za matukio ya zamani (mfano kifo cha Billionaire Msuya) na hata yenye utata kama sasa tunapowatafuta...
Back
Top Bottom