eric omondi

Eric Omondi (born 9 March 1983) is a Kenyan comedian and actor. He made his comedy debut in Churchill Show, a comedy show that airs on NTV in 2008. He has since won three African Entertainment Awards USA for 'Best Comedian' in 2018, 2019 and 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Operation Safisha Nairobi, Eric Omondi awaita wakenya Uhuru Park, lengo kuu kubadilisha Nairobi

    Kenyan comedian Eric Omondi ametoa wito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi this Saturday at Uhuru Park kwa kile ameita “Operation Safisha Nairobi.” Lengo kuu ni kuunganisha nguvu na wananchi kusafisha jiji la Nairobi, ambayo imekuwa ikikumbwa na changamoto za taka na mazingira machafu. Kupitia...
  2. O

    Eric Omondi Rushed to Hospital Hours After Starting Walk Nairobi to Mombasa

    Comedian and activist Eric Omondi has been rushed to hospital after suffering injuries just hours into his ambitious charity walk from Nairobi to Mombasa, a journey covering more than 480 kilometres. The walk, which is part of a fundraising campaign aimed at supporting vulnerable communities...
  3. R

    Mchekeshaji Eric Omondi awashauri wasanii wa Tanzania kusimama na wananchi rais ni wa muda tu

    Mchekeshaji maarufu kutoka Kenya, Erick Omondi amewashauri wasanii wa Tanzania kusimama na wananchi akiwasihi kwamba hawa marais wanapita tu pindi muda wao kukaa katika hizo nyadhifa unapoisha Pia amewashauri kusimama kama sauti ya wananchi dhidi ya ukiuwaji haki akiwakumbusha kutumia akili...
  4. sinza pazuri

    Diamond Platnumz ampa ushauri Eric Omondi juu ya chuki wanayoieneza kwa wasanii wa Tanzania

    Baada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake. Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe. Diamond is so genius
  5. Ikaria

    Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa na Polisi katika maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha 2024

    Mchekeshaji na Mwanaharakati Eric Omondi amekamatwa dakika chache zilizopita nje ya Bunge la Kitaifa, akipinga mswada wa fedha 2024 ulioshuhudia maandamano makubwa jana. Omondi alifika nje ya geti la Bunge la Kitaifa akiwa amepanda farasi, kuiga maafisa wa polisi waliokuwa wakipiga doria kati...
  6. Mmawia

    Eric Omondi mmoja ni sawa na wasanii wa bongo 200

    Msanii wa Kenya Eric Omond ni zaidi ya WASANII wote wa hapa bongo. OMONDI amejawa na weledi na kujiamini mno hivyo kutokuwa mpiga zumari. Ebu sikilizeni anavyo pinga msaada wa fedha unaotarajiwa kupitishwa na serikali ya Kenya. Kumbuka kuwa OMONDI Alisha wahi kukamatwa na kuwekwa lupango na...
  7. BARD AI

    Wasanii wa Tanzania wanapaswa kujifunza kitu kwa Eric Omondi, sio lazima kujipendekeza kwa Serikali ili maisha yako yaende

    Msanii wa Comedy kutoka Kenya, amekuwa akifanya vitu ambavyo kikawaida tumezoea kuona vikifanywa na wanasiasa kwa lengo la kutafuta huruma za wananchi waje kumpigia kura wakati wa uchaguzi. Ingawa pia, inaweza kuwa ni pia mipango ya Erico, you never know. Lakini kitendo cha kufanya tu hivyo...
  8. Analogia Malenga

    "Sitaacha!" Eric Omondi anasema baada ya kuachiwa kutoka kizuizini na polisi

    Mchekeshaji Eric Omondi amesema kwamba kuachiwa kwake kulihakikishwa na mfanyabiashara Gor Semelang'o, ambaye alimdhamini kituo cha polisi. Mchekeshaji Eric Omondi ameachiliwa kutoka Kituo cha Polisi cha Central Nairobi ambapo alikuwa amezuiliwa baada ya kukamatwa Jumatatu alasiri. Omondi...
  9. Kenyan

    Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa barabara ya Ikulu akiwa na Mkokoteni uliojaa CV za Wakenya

    Mchekeshaji Eric Omondi amekamatwa kwenye barabara ya kuelekea Ikulu ya Nairobi akivuta mkokoteni uliojaa masanduku yenye CV za maelfu ya Wakenya wasio na kazi. Erick alidai kuwa alikuwa alizipeleka CV hizo Ikulu kwa Rais. Ikumbukwe Rais William Ruto hayupo nchini yupo ziarani Ujerumani.
  10. Hemedy Jr Junior

    Erick Omond akamatwa na polisi akiandamana

    Mcheshi Eric Omondi amekamatwa akiongoza maandamano nje ya majengo ya Bunge jijini Nairobi. Omondi alikuwa akiongoza kundi la vijana waliojengeka vizuri, watanashati katika maandamano, ambapo waliitaka Serikali kushusha gharama za maisha. Vijana waliovalia kaptura nyeusi na vifua wazi walikuwa...
  11. joto la jiwe

    Eric Omondi apigwa na Polisi baada ya kuongoza maandamano ya kupinga kupanda kwa gharama za maisha

    MY TAKE; Hii ndiyo nchi inayosema kuna uhuru wa kujieleza[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom