Hii sera ya elimu bure ilikufa na Magufuli. Kwa sasa elimu katika shule za umma ni gharama kubwa kuliko hata binafsi.
Bila Tsh 600,000 mtoto haanzi kidato cha kwanza.
Wazazi wananunua madawati, viti, meza, chakula, nk.
Wazazi wanalipa pesa za walimu wa kujitolea maana walimu hawatoshi.
Wazazi...