An election is a formal group decision-making process by which a population chooses an individual to hold public office. It is usually used in Democratic nations.
Elections have been the usual mechanism by which modern representative democracy has operated since the 17th century. Elections may fill offices in the legislature, sometimes in the executive and judiciary, and for regional and local government. This process is also used in many other private and business organizations, from clubs to voluntary associations and corporations.The universal use of elections as a tool for selecting representatives in modern representative democracies is in contrast with the practice in the democratic archetype, ancient Athens, where the Elections were not used were considered an oligarchic institution and most political offices were filled using sortition, also known as allotment, by which officeholders were chosen by lot.Electoral reform describes the process of introducing fair electoral systems where they are not in place, or improving the fairness or effectiveness of existing systems. Psephology is the study of results and other statistics relating to elections (especially with a view to predicting future results).
To elect means "to select or make a decision", and so sometimes other forms of ballot such as referendums are referred to as elections, especially in the United States.
AN EXPERT OPINION FOR THE ATTENTION OF CHIEF JUSTICE MASAJU: THE JUDICIARY HAS NO POWER TO DEROGATE THE PEOPLE'S RIGHT TO ORGANISE FOR ELECTORAL SELF-DETERMINATION SO AS TO PARTICIPATING IN THEIR GOVERNMENT
Dear George Mcheche Masaju,
The Chief Justice
Of the United Republic of Tanzania...
Just like the famous Swahili saying that goes "Hayawai hayawahi sasa yamekuwa" which means "Whatever we are waiting for has finally happened"
After days of anticipation, postponements, and overnight deliberations, the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) has finally announced the names of its...
Leo anawatetea waropokaji, ving'ang'anizi na wasusaji wa michakato ya kidemokrasia wa chadema kuhusu reforms ambazo tayari zimeshafanyika.
Vipi kesho ACT, LND, UDP au CHAUMMA nao wakaja na madai ya reforms kadiri ya mapenzi ya vyama vyao au mashinikizo ya mabwenyenye ya magharibi yanayofadhili...
By Habari Hub Journalist
Zanzibar
June 17, 2025
Journalists in Tanzania have been urged to act as strong protectors of women contesting leadership positions by reporting and condemning any form of violence or discrimination against them during election periods.
This call was made by Dr. Mzuri...
By Habari Hub Journalist
Zanzibar
June 19, 2025
Tunguu, Zanzibar – A diverse group of women leaders, political party members, government officers, religious leaders, and journalists gathered at the Tanzania Media Women’s Association – Zanzibar (TAMWA-Z) office in Tunguu for an open dialogue...
Shirika la Fedha la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (DFC) wiki hii lipo nchini Tanzania kujadili mikakati ya jinsi ya kuwavutia wawekezaji wa Kimarekani kuja Tanzania ili kushirikiana na makampuni ya Kitanzania, hasa katika sekta za miundombinu na madini muhimu. Kaimu Balozi Andrew Lentz...
Kuna watu wanatumwa waje wasababishe hawa ghasia au sami fujo katika mikutano yenu. Mkijidai kulala nao sambamba police wataingilia na kuwatandika kisawa sawa.
Kisha next time mtanyimwa vibali vya kufanyia mikutano. Nawapa hili angalizo maana ni habari za ndani kabisa kutoka kwa mmoja ya...
Kampeni hiyo imezimika kama moto wa mabua mitandaoni, field na ground baada ya wanainchi kuipuuza kizalendo zaidi.
Hali hiyo imekuja baada ya gen z wa Kenya kuacha tena kusambaza hiyo ujinga kutokana na m.sarungi kuacha kutoa pesa kwa gen z wa Kenya, na chadema Tanzania nao wakajikuta...
Baada ya video iliyoonyesha bango mjongeo lilikokuwa na ujumbe wa no reforms no elections, uongozi wa Bar ya Small Planet iliyopo Sinza waibuka na kulaani vikali tukio hilo ukisema hawahusiki na kilichotokea.
---
Uongozi wa kampuni ya SMALL PLANET ENTERPRISES LIMITED ambayo ni miliki wa bar ya...
Makelele na mayowe ya mitandaoni yaliyopambwa na dhana potofu ya no reform no elections, hayana faida wala athari zozote kwenye uhuru na haki za wananchi kukamilisha maandalizi ya mwisho ya kujiandikisha kupiga kura na hatimae kushiriki kikamilifu katika zoezi la uchaguzi mkuu wa kihistoria...
Kwamba wingi wa watu wanaohudhuria mikutano ya "No Reforms, No Elections" unaonyesha ukosefu wa imani katika mchakato wa uchaguzi, na hivyo kufanya uchaguzi ujao kuwa kazi bure bila mageuzi ya maana.
Hili linaweza kuashiria hisia za umma kwamba mifumo ya sasa ya uchaguzi haistahili kuaminika au...
1. Pamoja na umasikini wa kuletwa, lakini hata hicho kidogo kinaishia mikononi mwa wachache. sasa hao wachache ndiyo wanahakikisha hakuna uchaguzi huru. siyo CCM yote.
2. Matumizi mabaya ya serikali. Toeni mifano halisi kwa nini pesa ya wanainchi inavyoliwa. Tumieni mifano rahisi kueleweka...
Labda kama kapeni hii imefadhiliwa na EU au USA, vinginevyo ni matimizi mabaya ya ruzuku ya vyama vya siasa ambayo ni hela za walipakodi walalahoi wa kitanzania.
Nasema hivyo kwa sababu the main goal ya kuzuia uchaguzi haitafanikiwa kwa sasa. Poor timing.sasa kama kapeni hii haiwezi kuletea...
Kuhusu Msajili wa Vyama vya Siasa na Uingiliaji wake Kipindi cha Uchaguzi
Wakuu, ni wazi kwamba tunapokaribia uchaguzi, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu jinsi Msajili wa Vyama vya Siasa anavyoingilia kazi za vyama, hasa vya upinzani. Kulingana na Sheria ya Vyama vya Siasa (Cap 258 R.E 2019), Msajili...
Haipo haja ya kumung'unya maneno wandugu, wala kuendelea kulea pimbi.
Imesikika miluzi mingi mara oooh:
Mbowe apewe heshima yake anayostahili!!
Mara oooh:
Pre GE2025 - DSM - Ujumbe wa Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani Boniface Jacob kwa G-55 na Wanachadema
Kwani nani ana taabu na mwamba, Boni...
VIDEO:
@TunduALissu , na ukosefu wa haki katika uendeshaji wa siasa.
https://x.com/Jambotv_/status/1913827455850119224?t=JWa3mF0HEhHnqIvfLSZ0Jg&s=0
Hao ni RC kupitia Askofu Pissa, President wa TEC kwenye ibada ya Lindi
Hiyo ni KKKT -Morogoro
Vuguvugu la No Reforms No Elections ndilo...
Chairperson of the Tanzania's INEC, Justice Jacobs Mwambegele
INTERROGATING THE COMPETENCE, INTEGRITY, CREDIBILITY AND INDEPENDENCE OF ELECTION MANAGEMENT BODIES: A TANZANIAN CASE STUDY ON THE ALLEGED INEC'S POWER TO DISQUALIFY A REGISTERED POLITICAL PARTY FROM PARTICIPATING IN AN ELECTION...
Mlifanya maandamano na mikutano ya kufa mtu mkishinikiza serikali isiingie ubia na wawekezaji, mlijifanya nyie mnajua sana sheria kuliko mawakili wa serikali, kila inachokifanya serikali kwenu hakuna zuri.
Suala la mkataba wa Bandari ndilo lilimpa umaarufu Mwabukusi hadi leo amekuwa Rais wa...
Mimi nadhani ni jambo la msingi kwa Chadema kuanza kukutana na wawakilishi wa mataifa ya kigeni, hususa za magharibu, na kuwatumia kuwashnikza viongozi wa Tanzania kufanya mabadiliko ya taratibu za uchaguzi na kuacha ukiukwaji wa haki za msingi za wanasiasa wa upinzani nchini.
Kama ambavyo...
binadamu
elections
haki
haki za binadamu
iendane
kampeni
mataifa
no reform
no reform no elections
tanzania
ukiukwaji
ukiukwaji wa haki
vikwazo
viongozi
viongozi wa tanzania
wapinzani
Ukiona mtu yeyote awe rafiki yako au ndugu yako anaepinga no reforms no election ujue ni aidha ananufaika moja kwa moja na mfumo uliopo (CCM) kama sivyo basi ujue huyo mtu HANA AKILI NA NI MJINGA wa kiwango Cha SGR.
Zifuatazo ni hoja walizonazo Wanaopinga no reforms no election ya chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.