dodoma mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Serikali imetususia hii Barabara ya Mkonze - Dodoma Mjini?

    Ubovu wa Barabara ya kutoka Mkonze Shule ya Msingi kwenda Mkonze Zahanati mpaka Mtaa wa Chinyika (Mkonze - Dodoma Mjini) unatia hasira unapopita hapo. Hali ni mbaya mno hasa kipindi hiki cha mvua ni hakupitiki jamani tunaomba msaada kwa Serikali watuangalie tunakwama sana, gari za Watoto wa...
  2. 26 Life

    Bei ya vyumba Dodoma mjini imekaa vipi?

    Habari wakuu, Niko Dar es Salaam mwezi wa tatu kwa sasa, Sasa nataka nikamalizie project zangu Dodoma kama miezi mitatu hivi before sijageuka tena S.A. Gharama za guest au Air bnb ni kubwa sana, hivyo nahitaji chumba kimoja cha kawaida tu Dodoma mjini. Kiwe Self contained, Usalama mkubwa...
  3. R

    GE2025 CHAUMMA yaanza kuwalisha ubwabwa wakazi wa Dodoma Mjini

    Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa UMMA(CHAUMMA)zamani CHADEMA Mkoa wa Dodoma Aisha Madoga amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Madoga amechukua fomu hiyo Leo Agost 4,2025 Jijini Dodoma ambapo pia aliandaa chakula Cha mchana(UBWABWA)Kwa wanachama wa CHAUMMA na Wananchi wa...
  4. Dalali_wa_kimataifa

    NYUMBA INAUZWA,IPO IYUMBU DOODOMA,BEI NI MILLION 350,NYUMBA NI NZURI SANA NA IPO MTAA MZURI KABISA, 0758844717

    A House to Call Home – For Sale! 📍 Location: Iyumbu , Dodoma 📐 Plot Size: 1,500 SQM 🏠 Structure: 5 Spacious Bedrooms Servant Quarters (Self-contained) Large Living Room Dining Area Kitchen + Store Study Room Garden & Ample Parking 💰 Goes Cheap! A rare opportunity for a serene home or...
  5. Dalali_wa_kimataifa

    Plot4Sale Eneo la kujenga shule linauzwa. Lipo Dodoma mjini

    Eneo linaukubwa wa 33,260sqm. Eneo lina hati ya mradi wa shule/taasisi. Kuna majengo ya madarasa ma4 na ofisi 4 na nyumba ya vyumba vitatu Eneo lipo mtaa wa Pinda, Dodoma mjini. Bei ni Tsh. Milioni 250 Call/WhatsApp +255758844717
  6. MHP

    GE2025 Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele achukua fomu Dodoma Mjini

    Mshauri wa Rais, Dkt. Fabian Madele amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kugombea jimbo la Dodoma Mjini. Leo chama hicho kimefungua pazia kwa makada wake kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania Ubunge na Udiwani.
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Samwel John Malecela atia nia ya kugombea ubunge jimbo la Dodoma mjini

    Ndugu Samwel John Malecela ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoani Dodoma na Mkurugenzi wa Lemutuz Media, ametangaza nia ya Kugombea Ubunge Jimbo la Dodoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
  8. upupu255

    PreGE2025 Mavunde agawa Matofali 41,000 na Saruji mifuko 2,050 kwa Kata zote za Dodoma Mjini kwa Miradi ya maendeleo

    Waziri wa Madini ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde, amegawa matofali 41,000 na mifuko ya saruji tani 102 (sawa na mifuko 2,050) kwa kata zote 41 za jimbo hilo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Mfuko wa Jimbo. Akizungumza wakati wa zoezi hilo...
  9. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Madiwani wapendekeza jimbo la Dodoma mjini ligawanywe

    Halmashauri ya Jiji la Dodoma imejipanga kutoa huduma kwa wananchi wote kwa kuzingatia mgawanyo wa Jimbo la Dodoma Mjini wenye mapendekezo ya kuligawa jimbo hilo kuwa Jimbo la Mtumba lenye kata 20 na Jimbo la Dodoma Mjini lenye kata 21. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Dkt...
  10. Just Pray

    PreGE2025 Kamati ya Siasa CCM Dodoma mjini waigomea taarifa ya mradi wa ujenzi wa Soko la Zayoni lililopo Nkuhungu

    WAJUMBE wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Dodoma mjini wameigomea taarifa ya mradi wa ujenzi wa Soko la Zayoni lililopo Kata ya Nkuhungu mkoani Dodoma kwa kudai ina mapungufu kutokana na hali ya kusuasua kwa mradi huo na hivyo kuagiza kuandaliwa kwa taarifa mpya yenye majibu...
  11. J

    TANROADS: Hili shimo barabara ya Dodoma hapa stand ya Dodoma mjini Morogoro hamulioni?

    TANROADS naomba niseme tu hamko makini. Kuna shimo lipo stand ya Dodoma MJINI Morogoro jirani kabisa na Substation kubwa kabisa ya TANESCO linasumbua sana!! Kuna watendaji nahisi hawaelewi wajibu wao katika taasisi za Serikali especially TANROADS. Na hili shimo ipo siku litasababisha ajali...
  12. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 Uongozi wa CCM Dodoma wafanya vikao mfululizo Kujiweka sawa Uchaguzi serikali za mitaa

    Uongozi wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini chini ya Mwenyekiti Charles Mamba umeendelea na mikutano ya mfufulizo na mabalozi wote 2000 wa Jimbo la Dodoma Mjini katika kujiweka sawa kuelekea katika uchaguzi wa serikali wa mitaa ambapo leo kikao kimefanyika cha Mabalozi kutoka Kata ya Makutupora...
  13. TUMSUMINGULIVI

    Nawezaje kugombea Ubunge Dodoma Mjini?

    Natarajia kuja kuishi Dodoma mjini Mwakani na Kugombea ubunge 2025.. Wana JF nipeni mbinu nawezaje pata ubunge pale Dodoma kupitia CCM
  14. Shivo32

    Naombeni wazo la biashara ya mtaji wa 300k-500k Dodoma Mjini

    Wakuu, naombeni wazo la biashara ya mtaji wa 300k-500k Dodoma Mjini Napokea ushauri wenu
Back
Top Bottom